wa Tanzania CCM ni mbaya kuliko hata ugonjwa wa ukimwi kwani uki gundua una ukimwi unaishi kwa matumaini lakini CCM ina tuletea ugonjwa ambao hauna dawa wala huwezi kuishi kwa matumaini unaitwa umasikini,na umasikini na ujinga ni mtaji mkubwa wa CCM mtanzania fungua macho na masikio tuseme sasa inatosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.