Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,793
- 284,881
Iko wazi sasa kwamba wametenguka na wamenyoosha mikono na wametambua kwamba NGUVU YA UMMA HAIZUILIKI , kiukweli wamechanganyikiwa kabisa .
Taarifa zinaonyesha kwamba njia pekee ambayo ni njia ya kienyeji na haitafanikiwa ni kujaribu kuzima mitandao kuelekea tarehe husika .
Too late !
Taarifa zinaonyesha kwamba njia pekee ambayo ni njia ya kienyeji na haitafanikiwa ni kujaribu kuzima mitandao kuelekea tarehe husika .
Too late !