Maoni Yenu juu Ya Hili Tafadhali.

Maoni Yenu juu Ya Hili Tafadhali.

Ukiwa huna nia mbaya hata akikaa siku 10 hutajinajisi jina lako bali utamlinda kwa sababu ya huyo rafiki yako. Yawezekana kakuheshimu sana na kukuona kuwa utamheshimu rafiki yako kwa kumlinda. Yu never know with women. They just trust like kids trusting their fathers when alone.
umri ni dawa, na nimeona kwako mangatara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa mchumba asingemtamani rafiki wa mpenzi wake, hilo la kwanza, pili ili mtu awe mchumba kuna taratibu zilizowekwa za kuhalalisha uchumba ambazo mwanamke huvikwa pete ili kumtofautisha na wanawake wengine ambao hawajaolewa, zaidi ya hapo ni uzinzi.
Tabia ni kama ngozi
 
A salaam allekyum ndugu zangu waislamu,heri ya sikukuu,na wakristo wenzangu salamu kwenu nyote

Ipo hivi ndugu zangu nina Rafiki yangu kabisaa ambae nae ana mpenzi wake na huyo mpenzi wake tunafahamiana vizuri tu kupitia yeye rafiki yangu, sasa yeye rafiki angu na mpenzi wake wako mikoa tofaut kikazi na hivi karibuni huyo shemeji yangu tuliwasiliana nae na kunieleza ana mpango wa kuja mkoa niliopo na hana pahala pa kufikia na kuniomba afikie kwangu kwa mda wa siku tatu, awali nilimkubalia sababu hata mimi nina mpenzi lakini tupo mbali kidogo kulingana na majukum yetu.

Lakini baada ya kutafakari kwa u ndani ugeni huu kidogo nikapata mkanganyiko juu ya huu ugeni ni wa heri au wa majaribu sababu alikua na kawaida ya kuja huu mkoa niliopo lakini hafiki wala haji kulala kwangu sasa iweje leo?

Sasa Wapendwa kilichonifanya kuomba ushauri wenu je ni sahihi kwa mimi kumkaribisha huyu shemeji yangu kwangu? Kua mimi nilale sebuleni na yeye chumbani? Na kama haitoshi hivi karibuni amekua akinieleza mtu wake amekua mzembe hamtimizii mahitaji ya kimwili vizuri kama kutoa malalamiko kwangu.
Ndugu zangu mnishauri je nikubali kutenda wema kwa mgeni huyu kwa kumkaribisha kwangu? Au niachane nae nimpotezee asije kwa maslahi mapana ya utu wangu.

Maoni Yenu tafadhali....

Sent using Jamii Forums mobile app

Ase,hakuna rafiki wa kweli hii dunia zaid ya wazazi wako
Piga hiyo kitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna mambo hata sio ya kuanzishia uzi. Kwani Guest houses zipo kwa lengo gani?!
 
A salaam allekyum ndugu zangu waislamu,heri ya sikukuu,na wakristo wenzangu salamu kwenu nyote

Ipo hivi ndugu zangu nina Rafiki yangu kabisaa ambae nae ana mpenzi wake na huyo mpenzi wake tunafahamiana vizuri tu kupitia yeye rafiki yangu, sasa yeye rafiki angu na mpenzi wake wako mikoa tofaut kikazi na hivi karibuni huyo shemeji yangu tuliwasiliana nae na kunieleza ana mpango wa kuja mkoa niliopo na hana pahala pa kufikia na kuniomba afikie kwangu kwa mda wa siku tatu, awali nilimkubalia sababu hata mimi nina mpenzi lakini tupo mbali kidogo kulingana na majukum yetu.

Lakini baada ya kutafakari kwa u ndani ugeni huu kidogo nikapata mkanganyiko juu ya huu ugeni ni wa heri au wa majaribu sababu alikua na kawaida ya kuja huu mkoa niliopo lakini hafiki wala haji kulala kwangu sasa iweje leo?

Sasa Wapendwa kilichonifanya kuomba ushauri wenu je ni sahihi kwa mimi kumkaribisha huyu shemeji yangu kwangu? Kua mimi nilale sebuleni na yeye chumbani? Na kama haitoshi hivi karibuni amekua akinieleza mtu wake amekua mzembe hamtimizii mahitaji ya kimwili vizuri kama kutoa malalamiko kwangu.
Ndugu zangu mnishauri je nikubali kutenda wema kwa mgeni huyu kwa kumkaribisha kwangu? Au niachane nae nimpotezee asije kwa maslahi mapana ya utu wangu.

Maoni Yenu tafadhali....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazembe hamtaisha dunia hii, yani unakuja humu kutuomba ruhusa ya kuosha rungu. Mkuu are you serious kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa kiume wa kiislam halafu unashindwa kulitatua hili?.kama haujatongozana nae huyo bint hakuna shida mkubalie aje then mpishe kwenye hicho chumba chako ,urafiki hudum kuliko mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha bangi, Ongea na mchizi wako kama kweli ni mwanao !!

Inavyoonekana mmeshachatishanaaa sana namna hii

Wewe---- Jamaa Itakuaje

Demu wajama--- mmhh kwan utamwambia

Wewe-----siwezi mwambia ila akijua umefikia kwangu bila taarifa

Demu wajamaa-- hawezi kujua bana ,wacha nifikie kwako siku tatu basi .

KUTOKA KWANGU MIMI

[emoji117] Acha bangi zako, kama kweli unataka ushaur ,USHAURI WA KWANZA ULIKUA NILAZIMANUUPATE TOKA KWA RAFIKI YAKO KIPENZI , nasio kufanya mambo kibububu alafu uzuge kuja kutafuta Ushauri humu ili upate mawazo mfu ya kuhalalisha upuuzi unaotaka kumfanyia Rafiki yako.


Ulivyoandika sasa, utadhani kama mtu mwenye busaraaaaaa lkn hizo busara unashindwa kuzionyesha kwa Rafiki yako.

NINAJUA KAMA RAFIKI YAKO ANGEIJUA IYO SAFARI ,,,WALA USINGEKUJA OMBA USHAURI HUMU.


ALAFU NN, KUMUWAZIA UJINGA DEMU WA RAFIKI YAKO NIMOJA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZAKIUME !!!.

RAFIKI MDANANDA WEEE!!!!...nimimi alafu nikujue , najifanya nmechukulia poa, nikusogeze karibu, siku nikikulipa Naww utajiona Mavi .

Sitokuadhabu kwasababu demu naye ni mpuuzi, ila utaadhibiwa kwa kusaliti urafiki wangu na wewe.

Fanya kama unachukua nyagi asee nikitoka tu humu napita na lipa.

In fact huyu jamaa inaonekana kamtaman huyu demu kitambo na inaonekana kuna mtafaruku mkubwa kati ya mshikaji wake na shemeji yake,

Sasa demu anataka kumkomeaha yule jamaa kwa kuwagonganisha
Mwisho wa siku demu ataonekana mshindi
 
Sawa sioni haja ya wewe kunipanikia kias icho isitoshe binti hajaja bado, na piah sina mazoea sana kama unavyodhani, isitoshe sivuti bangi ila nimeomba ushauri kwa waugwana humu.Stress zako hazinihusu

Sent using Jamii Forums mobile app

Usitufanye watoto.

Unachoongea na kilichomo moyoni ni tofauti

Kwa nini hujamtaarifu rafiki yako kama kweli una utafiki wa kweli kuhusi ujio wa shemeji yako kwako??
 
Naamini utakua na rafiki wa jinsia kama ya shem wako hapo unapoishi, fanya kumuomba huyo rafiki yako amstiri shemeji yako usiku awe analala kwake ila mchana atashinda na kula kwako.
 
Muache aje tu, mwambie kwa siri rafiki yako aje pia ili wakutane hapo home kwako uwashauri maana inaonekana hawaelewani vizuri.

Saidia kadri uwezavyo kuwatatua.
 
Angekuwa mchumba asingemtamani rafiki wa mpenzi wake, hilo la kwanza, pili ili mtu awe mchumba kuna taratibu zilizowekwa za kuhalalisha uchumba ambazo mwanamke huvikwa pete ili kumtofautisha na wanawake wengine ambao hawajaolewa, zaidi ya hapo ni uzinzi.
Yaani, jibu rahisi ni kumuepuka au msaidie afikie nyumba ya wageni (guest house) msaidie kumlipia la sivyo utahalalisha uzinzi kwani hata rafiki yako bado si mkewe. Inaweza tokea akawa wewe ndo ukaoa bila kutegemea akanogewa kwako, petro ktk biblia anatuhusia tuishi na wanawake kwa akili. Kazi kwako mkuu.
 
Back
Top Bottom