alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,369
- 3,177
A salaam allekyum ndugu zangu waislamu,heri ya sikukuu,na wakristo wenzangu salamu kwenu nyote
Ipo hivi ndugu zangu nina Rafiki yangu kabisaa ambae nae ana mpenzi wake na huyo mpenzi wake tunafahamiana vizuri tu kupitia yeye rafiki yangu, sasa yeye rafiki angu na mpenzi wake wako mikoa tofaut kikazi na hivi karibuni huyo shemeji yangu tuliwasiliana nae na kunieleza ana mpango wa kuja mkoa niliopo na hana pahala pa kufikia na kuniomba afikie kwangu kwa mda wa siku tatu, awali nilimkubalia sababu hata mimi nina mpenzi lakini tupo mbali kidogo kulingana na majukum yetu.
Lakini baada ya kutafakari kwa u ndani ugeni huu kidogo nikapata mkanganyiko juu ya huu ugeni ni wa heri au wa majaribu sababu alikua na kawaida ya kuja huu mkoa niliopo lakini hafiki wala haji kulala kwangu sasa iweje leo?
Sasa Wapendwa kilichonifanya kuomba ushauri wenu je ni sahihi kwa mimi kumkaribisha huyu shemeji yangu kwangu? Kua mimi nilale sebuleni na yeye chumbani? Na kama haitoshi hivi karibuni amekua akinieleza mtu wake amekua mzembe hamtimizii mahitaji ya kimwili vizuri kama kutoa malalamiko kwangu.
Ndugu zangu mnishauri je nikubali kutenda wema kwa mgeni huyu kwa kumkaribisha kwangu? Au niachane nae nimpotezee asije kwa maslahi mapana ya utu wangu.
Maoni Yenu tafadhali....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo hivi ndugu zangu nina Rafiki yangu kabisaa ambae nae ana mpenzi wake na huyo mpenzi wake tunafahamiana vizuri tu kupitia yeye rafiki yangu, sasa yeye rafiki angu na mpenzi wake wako mikoa tofaut kikazi na hivi karibuni huyo shemeji yangu tuliwasiliana nae na kunieleza ana mpango wa kuja mkoa niliopo na hana pahala pa kufikia na kuniomba afikie kwangu kwa mda wa siku tatu, awali nilimkubalia sababu hata mimi nina mpenzi lakini tupo mbali kidogo kulingana na majukum yetu.
Lakini baada ya kutafakari kwa u ndani ugeni huu kidogo nikapata mkanganyiko juu ya huu ugeni ni wa heri au wa majaribu sababu alikua na kawaida ya kuja huu mkoa niliopo lakini hafiki wala haji kulala kwangu sasa iweje leo?
Sasa Wapendwa kilichonifanya kuomba ushauri wenu je ni sahihi kwa mimi kumkaribisha huyu shemeji yangu kwangu? Kua mimi nilale sebuleni na yeye chumbani? Na kama haitoshi hivi karibuni amekua akinieleza mtu wake amekua mzembe hamtimizii mahitaji ya kimwili vizuri kama kutoa malalamiko kwangu.
Ndugu zangu mnishauri je nikubali kutenda wema kwa mgeni huyu kwa kumkaribisha kwangu? Au niachane nae nimpotezee asije kwa maslahi mapana ya utu wangu.
Maoni Yenu tafadhali....
Sent using Jamii Forums mobile app