Maoni yangu kuhusu ujenzi wa Ubungo Flyover

Matatizo ya flyover ya ubungo

1. Zile kona unapo karibia kituo vha mwendo kasi ukitoka kimara tutegemee majanga hasa magari makubwa.


2. Ile kona ya kuanza kupanda fylover ukitoka kimara kuelekea mjini ni kali sana kiasi cha magari makubwa kuchukua njia nzima wakati wa kukata kona.


3. Junction kati ya samnojoma na kituo cha sim 200 kama wataweka mataa kutakua nanusumbufu mkubwa sana labda watafute solution nyingine.


Kwa ujumla flyover imejengwa kw uimara mzuri sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matatizo ya flyover ya ubungo

1. Zile kona unapo karibia kituo vha mwendo kasi ukitoka kimara tutegemee majanga hasa magari makubwa.


2. Ile kona ya kuanza kupanda fylover ukitoka kimara kuelekea mjini ni kali sana kiasi cha magari makubwa kuchukua njia nzima wakati wa kukata kona.


3. Junction kati ya samnojoma na kituo cha sim 200 kama wataweka mataa kutakua nanusumbufu mkubwa sana labda watafute solution nyingine.


Kwa ujumla flyover imejengwa kw uimara mzuri sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mtaalam mwingine huyu!
 
Kumbuka yale ni automatic na rpm yake uchanganyaji kama ni tambarare inachanganya haraka.
Yaani kitendo cha kutoka kituoni kabla hata gia haija badilika yenyewe inakutana na mwinuko ule kwa ujazo wa abiria linaoshona zaidi a kiwango kilichowekwa tangu yananunuliwa huko yalikotolewa na engine ni nyuma tena kwa kweli mtakuja kuniambia tuombe uzima..
Labda nikusaidie kitu, kafanye homework urudi na mrejesho gari za mwendokasi zina Horsepower ngapi na mwisho wa kubebe ni Tonne ngapi, pia torque inayotengenezwa kwa rpm 1/1000 ni ngapi.
Ukiyajua hayo utasolve mystery yako ya uoga.
 
Hapo itakuwa ulipita pale mzee mkaanza kubishana na abiria wenzako, conclusion mliyofikia ikawa uzi tayari
Hapana mi nafanyaga mambo yangu pekeyangu tuu na nakuwa na prvt car
 
Back
Top Bottom