misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,643
- 9,339
Wanasiasa wa awamu ipi awajapigania matumbo yao?Wanasiasa wa awamu hii ya 5 wanapigania matumbo yao na siyo demokrasia 'How do you know their true colours'
Wanasiasa wa awamu ipi awajapigania matumbo yao?Wanasiasa wa awamu hii ya 5 wanapigania matumbo yao na siyo demokrasia 'How do you know their true colours'
Hivi kuna mtu ambaye ametukanwa zaidi ya Lowasa alipohamia CDM... Yale matusi ya Nape, Msukuma na Komba (RIP) ... Lowasa ana moyo sana.chadema mtu akihama wanamporomoshea matusi hadi basi
Unakumbuka Lowasa alipohamia Chadema aliitwa majina gani, Polepole alimuita malaya, Msukuma alisema Mzee alijinyea....... au ulikuwa hujazaliwa?chadema mtu akihama wanamporomoshea matusi hadi basi
..kwa upande mwingine unaweza kusema Dr.Mashinji amekuwa MUUNGWANA.
..amefanya kazi ya Ukatibu Mkuu mpaka pale CDM walipoamua hawamhitaji tena ndipo akaamua kwenda CCM.
..Dr.Mashinji ni tofauti na wale ambao bado walikuwa ktk nafasi zao ktk chama au bungeni halafu wakaamua kuhama. Huo siyo uungwana hata kidogo.
Jibu fyongo hiliWote ndo walewale tu.
Namaanisha wanasiasa [Mashinji akiwa mmoja wao].
Kivipi?Zitto ni mwanaume
Sent from my SM-N950F using Tapatalk
Anatakiwa kujiajiri au kuajiriwa ili kuikimu familia,kwani chakula cha familia yake kipo kwenye vyama vya siasa?Huko alikoenda ndiyo mahali sahihi kuwatafutia hao wanafamilia chochote?Wanalisha familia za wanachama?Hivi ile tweet kwamba ana familia ya kulisha ni kweli katuma Mashinji au wanampakazia?
Msukuma yule aliyeenda arusha kwa chopa? Weka ushahidi wa matusi kwa lowassa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna heshima kwenye siasa?
Tundu Lissu, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, ndiye aliyeiandika ile orodha ya mafisadi iliyosomwa na Dkt. Slaa pale Mwembechai.
Tundu Lissu huyo huyo, ndo akaja kumpigia kampeni ya urais mmoja wa watu alodai kuwa ni mafisadi: Edward Lowassa.
Dkt. Slaa alipojitoa CHADEMA kwa sababu ya kupinga ujio wa Lowassa, Lissu huyo huyo akaanza kumshambulia Slaa huku akimtetea Lowassa.
Hivi tofauti ya colours na colors ni ipi?
yote yana tumika hata mimi nilipata tatizo km lakwako hapo zamaniHivi tofauti ya colours na colors ni ipi?
Nikili kwamba ni awamu zote lakini hii wanaeleza waziwazi. hata kwakutumia akili za kuvukia barabara zinatosha 'you have to feed the family not to impress the public'Wanasiasa wa awamu ipi awajapigania matumbo yao?
Ile kauli, kama kweli kaandika yeye, ni mbaya, si kwa CHADEMA, bali hata CCM.Anatakiwa kujiajiri au kuajiriwa ili kuikimu familia,kwani chakula cha familia yake kipo kwenye vyama vya siasa?Huko alikoenda ndiyo mahali sahihi kuwatafutia hao wanafamilia chochote?Wanalisha familia za wanachama?
Kilicho dhahiri ni kuwa hajahamiaa Bali karudi kwake,ametekeleza alichotumwa.
British vs America englishHivi tofauti ya colours na colors ni ipi?
Mwembeyanga, for starters.iliyosomwa na Dkt. Slaa pale Mwembechai.
Njaa ni kiboko...Bado mbuge wa Rombo Selasini hana mda yule haifiki mwezi wa 6View attachment 1361933View attachment 1361936View attachment 1361937
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
''ni hatari badala ya EL kupelekwa jela anachukua fomu kugombea urais CCM''-Mbowe (May, 2015), ''Hatuwezi kumuacha mtu mwenye wafuasi milioni moja kisa Katibu Mkuu'' Mbowe (July, 2015).Huyu naye anaheshima?..nadhani Mashinji amejivunjia heshima.
..haiwezekani kuyakana yote aliyoyasema, kuyatenda, na kuyapigania, wakati akiwa CDM kirahisi-rahisi namna hii.
Ni moja ya mabeberu yasiyoitakia mema nchi hii?Zitto ni mwanaume
Sent from my SM-N950F using Tapatalk