Fakyuol Senior Member Nov 26, 2023 142 311 Jan 24, 2024 #1 Ni saa moja sasa na dakika zake......zimesalia kuelekea mchezo Muhimu kwa timu yetu ya taifa..dhidi ya congo!!!! Tutarajie nini kutoka kwa stars??? Yapi maoni yako juu ya mchezo wa leo?? Upi utabili wako??
Ni saa moja sasa na dakika zake......zimesalia kuelekea mchezo Muhimu kwa timu yetu ya taifa..dhidi ya congo!!!! Tutarajie nini kutoka kwa stars??? Yapi maoni yako juu ya mchezo wa leo?? Upi utabili wako??
Its Pancho JF-Expert Member Sep 21, 2018 14,239 22,675 Jan 24, 2024 #2 Nsikilizeni Tanzania tunashinda