Tangu Broo Magu ukose fedha za MCC sikuchanigia lolote, ila ninataka leo niseme hivi,kupitia mjadara huu nimeona na kusoma mengi ila nimegundua kitu kimoja hatari kwa taifa nacho ni watu kutokuijua bchi yao na rasrimali walizo nazo na thamani ya rasirimali hzio kwa wakati tuliopo na ikiwezekana tutabili na wakati ujao, leo hii nikimuuliza mbunge wa moshi mjini au mchaga yoyoyte anae tokea moshi, aniambie thamani ya mrima kilimanjaro hakuna hata mmoja atajibu kwa kutokujua ilo huwezi jua kama unaweza jitegemea au la?
NASSARI unajua kama ulikuwa unapoteza more than 1. bilioni kira mwaka mishahara hewa?hujui mpka magu kabana ndo unajua, lakini niliulize NASSARI tanzanite ina thanmani gani sokoni, na unatabiri nini juu ya hiyo kitu miaka mitano ijayo ili uweze funga mkanda kwa miaka miwili au mitatu?
swali kwa wakuu wa mikoa, wabunge wote nchginbi na wakuu wa wilaya hiivi ni wangapi wanajua rasirimali zilizopo kwenye maeneo yao na zinathamani gani?BROO MAGU, hachana na hizi porojo tupo tayari kufunga mikanda wabunge omba omba hachabna nao kuna mijitu haiuji hata thamani ya mikoa inayoongoza ipo aserikali ? haifai itumbue kira mkuu wa mkoa atumie rasirmali aliyopewa kimkoa kuongoza mnkoa kuutoia kwenye janaga la njaa, inawezekana kira mkuu wa mkoa alime, kilimo ndo uti wa mgongo, kira mbunge awe na shamba darasa, kira mkuu wa wilya awe na shamba eka kumi inawezekana wabunge mnataka pesa za misaada za nini? limeni kauze mazao yenu, wananmtwa sokjo lipo wazi vietanm,wahaya kimeni kahawa, serikali perekenei dawa ya mnyauko uko, limeni ndizi tutauza haiwezekjani tunakuwa na mijitu onyo mivaa suti mda mwte amkeni watanzania tuijenge nchi yetu broooooooooooooooo magu kaza uzi hatutaki pesa za majini hizo, tulizipokea tukajenge abarabara kira siku miajari zimerahanika.