meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Nianze kuomba uhai wa thread hii kwa watukufu mods!!
Ni majuma kadhaa yamepita toka sakata la muendelezo wa mauaji ya kigaidi huko paris.ni wazi kuwa sakata hili la mauaji dhidi ya kina "Ibra radi washokera" au kina "kipanya" wa jarida la Charlie hebdo.
Ni wazi sakata hili limeamsha hisia tofauti tofauti kutoka kwa mtu mmoja mmoja,taasisi,viongozi wa kidini na kisiasa duniani wakiwemo viongozi mahasimu Mahmood Abass vs Benjamin Netanyahu.
Ni ukweli usiopingika kuwa Tanzania inao utamaduni wa kupinga na kukemea mauaji au ugaidi dhidi ya raia duniani.
Ni wazi vile vile Tanzania kupitia waziri wa mambo ya nje ndugu Membe amejitokeza mara kadhaa kuonesha msimamo wa Tanzania dhidi ya uharamia au ugaidi mfano mabomu ya Israel yalioua watoto wa kipalestina.
Kwa uzoefu huu mfupi ningependa kujua Waziri Membe au niseme Tanzania ina maoni gani juu ya mauaji ya waandishi wa Charlie Hebdo na matukio yaliyojiri ikiwemo kuchorwa tena kwa kikatuni cha mtume?
Ni majuma kadhaa yamepita toka sakata la muendelezo wa mauaji ya kigaidi huko paris.ni wazi kuwa sakata hili la mauaji dhidi ya kina "Ibra radi washokera" au kina "kipanya" wa jarida la Charlie hebdo.
Ni wazi sakata hili limeamsha hisia tofauti tofauti kutoka kwa mtu mmoja mmoja,taasisi,viongozi wa kidini na kisiasa duniani wakiwemo viongozi mahasimu Mahmood Abass vs Benjamin Netanyahu.
Ni ukweli usiopingika kuwa Tanzania inao utamaduni wa kupinga na kukemea mauaji au ugaidi dhidi ya raia duniani.
Ni wazi vile vile Tanzania kupitia waziri wa mambo ya nje ndugu Membe amejitokeza mara kadhaa kuonesha msimamo wa Tanzania dhidi ya uharamia au ugaidi mfano mabomu ya Israel yalioua watoto wa kipalestina.
Kwa uzoefu huu mfupi ningependa kujua Waziri Membe au niseme Tanzania ina maoni gani juu ya mauaji ya waandishi wa Charlie Hebdo na matukio yaliyojiri ikiwemo kuchorwa tena kwa kikatuni cha mtume?