Maoni: Rais Dr. John Pombe Magufuli amefanana kiuongozi na Dr. Nkwame Nkurumah

Mwafrika ukitaka kumficha kitu weka kwenye maandishi, wapendwa someni tena uz wote japo mlefu mwishon una majibu kama mnayotoa!!!
Kiukweli tuendako katika utawala huu nikubaya kuliko tulikotoka. Kuna vitu kujifunza wakati unafanya . Lakn usijaribu kujifunza kuongoza nchi . Jifunze kabla hujaanza kuongoza.
 
Mwafrika ukitaka kumficha kitu weka kwenye maandishi, wapendwa someni tena uz wote japo mlefu mwishon una majibu kama mnayotoa!!!
Kiukweli tuendako katika utawala huu nikubaya kuliko tulikotoka. Kuna vitu kujifunza wakati unafanya . Lakn usijaribu kujifunza kuongoza nchi . Jifunze kabla hujaanza kuongoza.

Ebwanae, u nailed it.
Nilipotoa huu uzi nilitaka tuangalie utendaji wa Rais na kama utendaji huu unamnufaisha mwananchi wa kawaida kivipi.
Madikteta wengi duniani, wanapendwa sana na wananchi wao, na marais wengi hawapendwi na wananchi wao kwasababu wan muda mfupi kubadilisha kila kitu alichofanya mtangulizi wako na huna muda wa kuyanyoosha yaanze kuleta matunda.
Lakini Dikteta yuko madarakani miaka 40 arobaini kila kitu kwake kimenyooka kwasababu alianza siku nyingi.
 
Washauri wa Ikulu sio wakweli kwa Marais wengi, especially kwenye nchi za kiafrika, it takes 5 years to implement a change, another 5 years to realize a change, another 5 years to to see the fruits of a change. With only 10 yrs limit in the office, i wouldnt try to change everything if I were a president. Pick couple of hot issues, get them done thoroughly and leave a signature legacy behind. Why do you people remember Nyerere more than anybody ever rule Tz he had enough time to get it done handily, which brings me yo another topic,
Because of these aggressive changes Mr. President is undertaking, should we consider as people to change the consitution to allow him at least 20 years in power to realize the change?
Kumbuka tangazo la Safari, " Safari moja huanzisha safari nyingine"
 
Hivi Mnajua Kuwa Kwame Nkruma alikuwa Kiongozi shupavu, Mwenye Nia Njema na Ghana, Na alivaa Kidani cha Africa (Pan African) Lakini Mwishowe akaanza Udictator Mpaka Waghana Wakamchukia wakahoji Kulikuwa na Sababu gani ya Kuuondoa Ukoloni. Akiwa safarini Akapinduliwa, Waghana wakashangilia sana sana. Akaenda Uhamishoni Guinea Kwa jinsi alivyopenda Ukubwa, Akawa Rais Mwenza wa Rais wa Nchi ya Guinea, Lakini Guinea hapakutosha. Ikasemekana aliuawa, akarudishwa Ghana akiwa Maiti. Na Katika Utawala wake alijitangaza ati Kuwa yeye ni Rais wa Maisha. Na Majaribio Karibu Matano ya Kumpindua yaifanywa.

Anaabudiwa Tu Baada ya Kufa, Siku zake za Mwisho alikuwa Ni Kiongozi Ovyo, Ovyo sana, Msikilize Ushuhuda wa Jerry Rollings Rais aliyependwa Kuliko wote Ghana.


 
Angalau nimemfahamu Nkurumah kupitia uzi wako mkuu Jipu-bishi.

Historia halisi ya Viongozi wa Kwanza Africa haikuandikwa kwa ukweli wake. Nkurumah alikuwa na maono mazuri sana kuhusu Ghana na Africa kwa ujumla. Kama alivyosema Martin Luther, ukitaka kujua Character halisi za Kiongozi, mpe madaraka. Huu ndio ugonjwa wa Viongozi wetu wa Kiafrika, Madaraka, Dharau kwa Wananchi wako na Wapinzani wako, Power Corruption na akina dada weupe. Soma Historia ya Nkurumah kwanini aliamua kwenda kuoa Misri akawaacha mabinti wengi wa Ghana.
 
Historia halisi ya Viongozi wa Kwanza Africa haikuandikwa kwa ukweli wake. Nkurumah alikuwa na maono mazuri sana kuhusu Ghana na Africa kwa ujumla. Kama alivyosema Martin Luther, ukitaka kujua Character halisi za Kiongozi, mpe madaraka. Huu ndio ugonjwa wa Viongozi wetu wa Kiafrika, Madaraka, Dharau kwa Wananchi wako na Wapinzani wako, Power Corruption na akina dada weupe. Soma Historia ya Nkurumah kwanini aliamua kwenda kuoa Misri akawaacha mabinti wengi wa Ghana.
Magufuli is like Nkrumah in one aspect.

Nkrumah is very much overrated outside of Ghana. Magufuli is very much overrated outside Tanzania.

If the similarity goes further than that, I am not aware.

Nkrumah mtu egotistic mpaka kajichongea kitanda cha dhahabu.

Magufuli at least outwardly has an image of austerity.
 
Back
Top Bottom