Maoni kutoka kijiwe cha msafisha viatu: Watanzania wengi hawapendi Mabadiliko, wanangoja Magufuli aondoke

Mimi sina maslahi na magufuli ila naeleza nilichokiona na nachoendelea kukiona.

Sina tatizo na unachokiona, lakini utetezi wako kwa Magufuli vs JK sio wakweli, bali wote ni sawa, bali wanatengenishwa na hulka na mapungufu binafsi. Ila uwajibikaji kimfumo hakuna mwenye afadhali kwa mantiki ya ubora. Kama ni alama, basi mmoja ana C+, na mwingine b-, lakini sio B kwenda mbele.
 
Kuna ka uzi nilikapandisha hapa nikasema kwamba kuna tatizo la tafsiri halisi ya malengo ya Magufuli,

Subordinates wake baadhi yao wamepata tafsiri potofu ya malengo yake.

Nikaenda mbele zaidi kussugest kwamba ipo haja ya kuwa na mtu wa Kati ambaye atakuwa kiungo mzuri baina ya Magufuli na subordinates wake,

Ila kuna mtu naona mwenye hili jukumu halitimizi ipasavyo,

Otherwise Magufuli akitumika vyema ni Rais Mzuri Sana.
Tatizo ni kwamba, Magufuli hana clear thinking.

Hana political education wala philosophy kama aliyokuwa nayo Nyerere.

Matokeo yake anataka kuwapandishia wakulima wa korosho bei ya korosho kwa command, kwa kutumia jeshi.

Matokeo yake wakulima wa korosho wanalia mpaka leo.

Serikali kuingilia biashara ya korosho kulifuatiwa na mapato ya fedha za kigeni zinazotokana na bidhaa za kilimo kushuka kwa 55% mwaka uliofuatia. Ripoti ya BOT ya September 2019 imebainisha hilo.

Uchumi hauendeshwi kwa maguvu na vitisho.

Nyerere na Sokoine walijaribu wakashindwa.

Magufuli hakujifunza kitu hapo?
 
Nipo Dar-es-salaama kikazi na nimetua mitaa yangu ya katikati ya mji na nikamkumbuka msafisha viatu na maoni yake hatari ya kisiasa.

Nikakumbuka yupo mtaa wa Jamhuri lakini nilipofika pale sikumwona nikauliza mazee walokuwepo pale wakanambia kahamia mtaa wa Tandamti.

Basi kwa kuwa nilikuwa pia nataka niingie mitaa ya Kariakoo na nikakumbuka ninayo namba yake ya simu ambayo alinipatia (huwa napenda kuweka contacts za vyanzo vyangu vya habari) nikampigia.

Akanambia yupo mtaa wa Tandamti tangu mwezi wa December alipata kasehemu ka kujishikiza baada ya mjamaa aliekuwepo pale kuhamia sehemu ingine.

Basi, nikamfahamisha kwamba nikimaliza shughuli zangu pale Kariakoo ntamtafuta ili tujadili mawili matatu likiwemo suala la uchaguzi jinsi ulivyokwenda na nini ni maoni yake.

Baada ya mizunguko yangu nikaelekea mtaa wa Tandamti na pale nikamkuta anapiga kazi yake na ana wateja wapatao sita na kumbe tayari wana kikao chaendelea.

Pembeni yao alikuwepo kijana anakoka mkaa kwa ajili ya kahawa na kashata na upande mwingine alikuweo mzee mmoja ambae niliambiwa kuwa aitwa mzee Uledi mzee mashuhuri mahali pale kwa kuuza machungwa, mihogo ya kuchoma maji ya madafu na juisi maarufu ya miwa.

Hivyo hicho kilikuwa ni kijiwe tosha kabisa kuleta hamasa ya mijadala na mjadala nilioukuta ulikuwa ni wa kuhusu ugumu wa watanzaia wengi wenye dhamana mbalimbali ambao wanapaswa kumasidia raisi Magufuli na serikali yake katika kutekeleza azma ya serikali katika kuleta maendeleo ya kweli kwa watanzania.

Nikamwona mzee mwingine mstaafu aitwae Kigosi ambae nae ni wa "Tanga Line" alikuwa ile mitaa ya Jamhuri na msafisha viatu na nikashangaa kumwona pale.

Mzee Kigosi akaendelea kusema kwamba, "viongozi wengi hawana nia ya kweli ya kumsaidia huyu mzee. Wao wanangojea aondoke kwa matarajio kwamba raisi ajae atakuwa si kama huyu mwamba".

Akaendelea, " Wewe ona kila siku wasikia kuna madudu mengi yanaibuka watu wanapiga fedha nyingi zingine ni mabilioni kwenye miradi midogo tu. Watanzania wengi walizoea kutofanya kazi na kupenda maisha ya mkato, sasa wanapata taabu kwani amebana mirija hiyo".

Nikamuuliza mshona viatu kuhusu matokeo ya uchaguzi na nikampongeza kwa maono yake kwamba Tundu Lissu angeshindwa vibaya.

Mshona viatu akaendelea" Tundu Lissu ndio tegemeo la wazungu na ndio maana walihakikisha anaondoka salama Tanzania ili kwenda huko Ubelgiji kujiandaa na uchaguzi wa 2025."

Akaendelea. "wanadhani watakuwa na nafasi ingine tena ya kushinda uchaguzi ule lakini hiyo haiwezekani kwani CCM kwa sasa ndo imejizatiti kisawasawa".

Nikachomokea jina la Membe, mshona viatu akaendelea , " si umeona eeh Membe kamaliza kazi yake na yule mzee Maalim na Zitto nao wamemaliza kazi zao?"

Mshona viatu akaendelea, " kazi ya system ni kusoma mchezo na kuandaa kazi na mipango madhubuti na kama nilivyosema na waweza sema chochote lakini kwa sasa hali hali ndivyo ilivyo."

Nikamuuliza mzee Kigosi vipi anadhani ni nini serikali hii ifanye ili kuweka mambo sawa maana viongozi wengi waliopo wanaonekana wanafanya kazi kwa kutokujiamini.

Mzee Kigosi akaendelea " Raisi awape uhuru awape semina za kila mara na assurances kwamba wao ni viongozi alowaamini.

Awape miongozo kwani wengi ni vijana hivyo wana udhaifu wa kiujana ila wengi kama Bashe na Bashungwa na hata Jaffo ni viongozi makini wajao huko mbele."

Jamaa mwingine ambae alikuwa amekaa pembeni anasikiliza akaingia kutoa neno akaendelea kwamba, "JK ndie alieharibu sana hii nchi kwa miaka 10 mfululilizo na kulea taifa ambalo baadae linakuja kusumbua serikali zinazofuata."

Akaendelea, jamaa aliachia sana kila kitu na watu wengine hawakuzoea kujitafutia vipato kwa njia halali, wauza unga wengi, wakwepa kodi wengi, shule nyingi za "private" zilishamiri kuwakamua wananchi wa kawaida kwa kuondoa resources kwenye shule za serikali na kuziacha zibomoke na rasilimali za nchi kuibiwa bila Tanzania kufaidika na rasilimali hizo."

Mshona viatu akaendelea " Mji kama wa Dar wapaswa kusafishwa, ujengwe mazingira mazuri, mpangilio wa mitaa na maduka na wachuuzi wa barabarani waondolewe".

Akaendeelea, " pamoja na kwamba hawa pia ni walipa kodi lakini ni lazima waaandaliwe utaratibu mzuri wa kuuza bidhaa zao badala ya wanavyofanya sasa".

Mimi nikaangalia muda nikaona niwahi kuondoka kuelekea nyumbani Tegeta.

Nikatafakari yale niliyoyasikia lakini kikaguswa na hili la kwamba JK aliharibu sana hii nchi kwa miaka 10.

Nikajaribu kuoanisha miaka yake 10 na miaka 10 ijayo na JPM nikasema kimoyomoyo heru fikiria tungekuwa na miaka 20 ya "Hapa Kazi Tu" ingekuwaje?

Yalopita si ndwele tugange yajayo na nimeona mahala humu JF JK ataka kuandika (narudia kuandika) kitabu cha maisha yake.

JK aandike tu kitabu asijiulize ama aandike ama vipi.

JK aliingia serikalini kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 44 kijana mdogo, hivyo hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere alikuwa na matarajio yaani "expectations" kubwa juu ya JK.

Nikaangalia salio la charge kwenye simu yangu ili kuona kama naweza kuandika machache niliojifunza kutoka kwenye hichi kijiwe.

Hivi sasa nchi ipo kwenye kipindi kigumu sana serikali iko makini kutoza ushuru na kuhimiza wananchi kulipa kodi na kudai risiti.

Lakini pia serikali yapaswa kuangalia namna ya kutengeneza njia mbalimbali za kujipatia mapato zaidi.

Kwa mfano wakurugenzi wa halmashauri ni watu wa kwanza kabisa kuanza kufikiria kujipatia mapato katika halmashauri zao.

Halmashauri zaweza kuanzisha ushirikiano au "partnership" kati yao na wafanyabiashara waishio katika halmashauri hizo au hata wa kutoka nje ya halmashauri hizo na wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa njia hii, halmashauri zaweza kuwa na "city centers" yaani katikati ya mji kunakuwa na maduka, maegesho ya magari, majengo ya kukodi kwa ajili ya ofisi, majengo ya maduka au "shopping malls", vivutio vya utalii wa ndani, viburudisho kwa ajili ya familia na watoto, mitaa maalum na maduka ya kawaida.

Pia wafanya biashara au wafanyabiashara watarajiwa wanaweza kushawishiwa kujenga maduka makubwa yaani supermarkets katika vitongoji vya halmashauri hizo hivyo kuweza kuketa mapato katika maeneo hayo kupitia kutoa ajira na kuwezesha huduma zingine kujitokeza katika maeneo hayo.

Kwa kuanzia njia hii yaweza kuzipatia mapato halmashauri nyingi tu nchini kiasi cha kuweka kupunguza fedha za miradi ya maendeleo ambazo zatokea serikali kuu na kuwa ni kiasi kidogo.

Njia ya pili kwa halmashauri kuweza kuongeza mapato katika maeneo yao ni kuhakikisha kila mwananchi analipa kodi ya maendeleo na kodi ya kiwanja kwa kuwa na utaratibu wa kusajili kila kiwanja na kila nyumba.

Ukiondoa misamaha ya kodi kila mtanzania ni lazima alipe kodi ili kulata maendeleo katika maeneo yao iwe ujenzi wa shule, barabara zinazopitika kwa urahisi.

Leo hii mtoto wa shule akichaguliwa kwenda sekondari ya kata ishakuwa taabu kwani kuna njia zingine magari hupata shida kupita kutokana na ubovu wa njia au vibarabara.

Hali hii italeta ugumu wa kuishi katika baadhi ya miji na vitongoji kwani watabakia wale wenye uwezo wa kuishi maeneo hayo na wale waso na uwezo kuhamia maeneo wanayostahiki.

Raisi Magufuli ana lengo zuri ila aina ya viongozi alio nao baadhi yao hawako tayari kufuata anayotaka.

Wapo baadhi Bashe, Bashungwa, Waziri mkuu Majaliwa, Lukuvi, Jaffo, na sasa Dr Gwajima na baadhi ya manaibu waziri wanaonyesha kuunga mkono maono ya raisi JPM.

Hajachelewa, asietaka kutumikia wananchi ajiondoe na apishe wenye nia hiyo ili maendeleo tunayohitaji wananchi yatufkie kwa uharaka.

Kila waziri na kiongozi khasa wale wanaowakilisha mikoani kama wakuu wa mikoa hadi wakurugenzi wa maendeleo ni lazima aunge mkono jitihada na juhudi za serikali.

Viongozi wachemshe vichwa wawe wabunifu wasiogope kutetea maamuzi yao endapo yanaleta tija.

Ni kama vile wanangojea muda wake uishe ili aondoke na kisha waendeleze ule ujinga wetu watanzania!

Kuwajibika katika nafasi aliyo nayo mtu ndio iwe mbiu ya kuchochea maendeleo kwa kila mtanzania.

Nimemaliza kuandika ndo nafika hapa Tegeta naenda kuicharge simu yangu maana yaelekea kuzima.

Wasalaam wanaJF.
Jamaa kaandika Sanaa Mambo mengi....

Huyu Jaman anastahili kupewa hata like 💯
 
Ni kweli hata huko uliko kama ni USA tumeona mfumo kushindwa kutekeleza majukumu yake na kuachia "the rise of Donald Trump" akisaidiwa na mafashisti.

Ndio, hata ujerumani mwaka 1933 walimwachia Hitler akapanda lakini wale walikuwa wajerumani wanazi.

Watanzania tulizoea maisha ya kupata bila jasho hivyo sasa twafunzwa kutafuta kwa jasho twaona taabu na shida kubwa.

Yawezekana tatizo ni mfumo au kama ulivyosema lakini ni "better off" kwa huyu wa sasa na atakuwa "judged" kutokana na anayoyafanya sasa.

He has good intentions lakini anazungukwa na mfumo ambao ni corrupt and toxic na hauko tayari kutafuta "compromise" kwa ajili ya maslahi ya taifa.

JK ni sehemu kubwa ya tatizo kwa kuwa yeye alijenga himaya yake na mitandao nchi nzima nje ya nchi.

Nafahamu wamo humu watu wanamtetea lakini JK ndie kaharibu hii nchi na kuwapa shida wengine wajao hata iwe ni Tundu Lissu.

Kwanza mfumo hautakubali aje mtu mwingine alie nje yake.
"Watanzania tulizoea maisha ya kupata bila jasho hivyo sasa twafunzwa kutafuta kwa jasho twaona taabu na shida kubwa"

Nime mnukuu huyu jamaa hapo juu....

Hiyo kauli huwaga si ielewagi ........wanao ielewa wanifafanulie......
 
"....viongozi wengi hawana nia ya kweli ya kumsaidia huyu mzee. Wao wanangojea aondoke kwa matarajio kwamba raisi ajae atakuwa si kama huyu mwamba"
 
Kuna ka uzi nilikapandisha hapa nikasema kwamba kuna tatizo la tafsiri halisi ya malengo ya Magufuli,

Subordinates wake baadhi yao wamepata tafsiri potofu ya malengo yake.

Nikaenda mbele zaidi kussugest kwamba ipo haja ya kuwa na mtu wa Kati ambaye atakuwa kiungo mzuri baina ya Magufuli na subordinates wake,

Ila kuna mtu naona mwenye hili jukumu halitimizi ipasavyo,

Otherwise Magufuli akitumika vyema ni Rais Mzuri Sana.
Rais ambaye anashindwa kufikisha ujumbe vizuri kwa wasaidizi wake, mpaka akahitaji mkalimani wa kutafsiri anachosema kama yeye katoka nchi nyingine na hajui lugha yetu, ameshindwa kazi rahisi kabisa ya rais, mawasiliano.

Sitegemei aweze kazi nyingine ngumu zaidi.
 
Rais ambaye anashindwa kufikisha ujumbe vizuri kwa wasaidizi wake, mpaka akahitaji mkalimani wa kutafsiri anachosema kama yeye katoka nchi nyingine na hajui lugha yetu, ameshindwa kazi rahisi kabisa ya rais, mawasiliano.

Sitegemei aweze kazi nyingine ngumu zaidi.
Kazi ya Rais sio mawasiliano,

Kazi yake ni kutoa maagizo tu,

Ni jambo la kawaida kabisa kwa baadhi ya watu kushindwa kumsoma mtu kwa uharaka na kumuelewa anataka nini

Hata huko madarasani sio wote wanaomwelewa mwalimu kwa uwezo wa Kupata A , inatokea anayepata F ingawa mwalimu ni yule yule, hapo huwezi sema kuwa Mwalimu kashindwa kufikisha ujumbe kwakua wapo waliopata F.

Sasa ili huyo wa F Naye aongeze ufaulu anahitaji muda wa zaida, linakuja swala la tuition.

Same applies kwamba kuna baadhi ya watendaji hawajafanikiwa kuelewa filosofia ya kiongozi wao jambo linalopelekea kufanya mambo kinyume na matarajio. Hawa wanahitaji ufafanuzi wa ziada, rejea mfano wa tuition.
 
Kazi ya Rais sio mawasiliano,

Kazi yake ni kutoa maagizo tu,

Ni jambo la kawaida kabisa kwa baadhi ya watu kushindwa kumsoma mtu kwa uharaka na kumuelewa anataka nini

Hata huko madarasani sio wote wanaomwelewa mwalimu kwa uwezo wa Kupata A , inatokea anayepata F ingawa mwalimu ni yule yule, hapo huwezi sema kuwa Mwalimu kashindwa kufikisha ujumbe kwakua wapo waliopata F.

Sasa ili huyo wa F Naye aongeze ufaulu anahitaji muda wa zaida, linakuja swala la tuition.

Same applies kwamba kuna baadhi ya watendaji hawajafanikiwa kuelewa filosofia ya kiongozi wao jambo linalopelekea kufanya mambo kinyume na matarajio. Hawa wanahitaji ufafanuzi wa ziada, rejea mfano wa tuition.
Ukisema kazi ya rais si mawasiliano, ni kutoa maagizo, hapo kama hujaelewa maagizo ni mawasiliano naweza kuelewa kwa nini Tanzania tuna shida kwenye mawasiliano kuanzia huyo rais mpaka wewe mwananchi.

Pia, kama hujaelewa hitubabanazotoa rais ni mawasiliano hilo ni janga lingine.

Zaidi, kama hujaelewa kwamba rais si mtu wa kutoa maagizo tu, naye anatakiwa asikilize maoni ya wananchi, na kufanya hivyo ni mawasiliqno na wananchi, hilo ni janga lingine la kuleta taharuki.

Ongezeo, kama rais mwenyewe hajui anarudi au anaenda, yuko kushoto au kulia, anawayqwaya tu kama bendera kufuata upepo wa nuda huo, hakuna mtendajibatakayemuelewa na hata yeye mwenyewe hatajielewa.

Magufuli anawayawaya tu. Hajui anataka nini na atapataje anachotaka

Mfano.Anajisema rais wa wanyonge, lakini matumizi yake ya hela nyingi kununua midege ambayo hao wanyonge hawawezi kupanda haioneshi hilo. Tena kanunua kibabe bila ooen tender wala ukaguzi wa mahesabu.

Mfano nwingine. Magufuli kuingilia biashara ya korosho kibabe iki apandishe bei ya korosho kwa wakulima kume backfire na wakulima wa korosho waneumia vibayabsana. Kwa nini? Kwa sababu rais wao kavamia suala hili kwa pupa bila mpango.

Magufuli kajaa pupa, hana mpango wa kueleweka.

Mtu kama huyo hata yeye mwenyewe hajielewi anataka nini na anachokitaka atapataje. Anakwenda kwa "reflex action" tu.Sasa hao wasaidizi wake watamueleea vipi?
 
Ukisema kazi ya rais si mawasiliano, ni kutoa maagizo, hapo kama hujaelewa maagizo ni mawasiliano naweza kuelewa kwa nini Tanzania tuna shida kwenye mawasiliano kuanzia huyo rais mpaka wewe mwananchi.

Pia, kama hujaelewa hitubabanazotoa rais ni mawasiliano hilo ni janga lingine.

Zaidi, kama hujaelewa kwamba rais si mtu wa kutoa maagizo tu, naye anatakiwa asikilize maoni ya wananchi, na kufanya hivyo ni mawasiliqno na wananchi, hilo ni janga lingine la kuleta taharuki.

Ongezeo, kama rais mwenyewe hajui anarudi au anaenda, yuko kushoto au kulia, anawayqwaya tu kama bendera kufuata upepo wa nuda huo, hakuna mtendajibatakayemuelewa na hata yeye mwenyewe hatajielewa.

Magufuli anawayawaya tu. Hajui anataka nini na atapataje anachotaka

Mfano.Anajisema rais wa wanyonge, lakini matumizi yake ya hela nyingi kununua midege ambayo hao wanyonge hawawezi kupanda haioneshi hilo. Tena kanunua kibabe bila ooen tender wala ukaguzi wa mahesabu.

Mfano nwingine. Magufuli kuingilia biashara ya korosho kibabe iki apandishe bei ya korosho kwa wakulima kume backfire na wakulima wa korosho waneumia vibayabsana. Kwa nini? Kwa sababu rais wao kavamia suala hili kwa pupa bila mpango.

Magufuli kajaa pupa, hana mpango wa kueleweka.

Mtu kama huyo hata yeye mwenyewe hajielewi anataka nini na anachokitaka atapataje. Anakwenda kwa "reflex action" tu.Sasa hao wasaidizi wake watamueleea vipi?
Angalia tu isijekuwa wewe ndio hauelewi ukawa unapotosha na kuzua taharuki.

Kuna tofauti Kati ya mawasiliano na kutoa maagizo (amri).
 
Angalia tu isijekuwa wewe ndio hauelewi ukawa unapotosha na kuzua taharuki.

Kuna tofauti Kati ya mawasiliano na kutoa maagizo (amri).
Unavyowaza ni moja ya sababu Tanzania ina watu masikini wengi.

Rais ni kijakazi wa wananchi. Anatakiwa kujieleza kwa wananchi wananchi wamuelewe.

Hawezi kufanya hivyo bila kuwasiliana na wananchi.

Ndiyo maana marais waliopita kina Kikwete na Mkapa walikuwa wanafanya hotuba za kila mara. Kila mwezi mara nyingine. Walijua umuhimu wa kuwasiliana moja kwa moja na wananchi.

Mwinyi ndiyo kabisaa, alikuwa anakutana na wananchi moja kwa moja Lumumba anawasiliana nao.

Wewe unamfanya rais kuwa kama mfalme wa kizamani anayetoa amri tu.

Hata Wafalme siku hizi hawatoi amri tu.
 
Nipo Dar-es-salaama kikazi na nimetua mitaa yangu ya katikati ya mji na nikamkumbuka msafisha viatu na maoni yake hatari ya kisiasa.

Nikakumbuka yupo mtaa wa Jamhuri lakini nilipofika pale sikumwona nikauliza mazee walokuwepo pale wakanambia kahamia mtaa wa Tandamti.

Basi kwa kuwa nilikuwa pia nataka niingie mitaa ya Kariakoo na nikakumbuka ninayo namba yake ya simu ambayo alinipatia (huwa napenda kuweka contacts za vyanzo vyangu vya habari) nikampigia.

Akanambia yupo mtaa wa Tandamti tangu mwezi wa December alipata kasehemu ka kujishikiza baada ya mjamaa aliekuwepo pale kuhamia sehemu ingine.

Basi, nikamfahamisha kwamba nikimaliza shughuli zangu pale Kariakoo ntamtafuta ili tujadili mawili matatu likiwemo suala la uchaguzi jinsi ulivyokwenda na nini ni maoni yake.

Baada ya mizunguko yangu nikaelekea mtaa wa Tandamti na pale nikamkuta anapiga kazi yake na ana wateja wapatao sita na kumbe tayari wana kikao chaendelea.

Pembeni yao alikuwepo kijana anakoka mkaa kwa ajili ya kahawa na kashata na upande mwingine alikuweo mzee mmoja ambae niliambiwa kuwa aitwa mzee Uledi mzee mashuhuri mahali pale kwa kuuza machungwa, mihogo ya kuchoma maji ya madafu na juisi maarufu ya miwa.

Hivyo hicho kilikuwa ni kijiwe tosha kabisa kuleta hamasa ya mijadala na mjadala nilioukuta ulikuwa ni wa kuhusu ugumu wa watanzania wengi wenye dhamana mbalimbali ambao wanapaswa kumsaidia raisi Magufuli na serikali yake katika kutekeleza azma ya serikali katika kuleta maendeleo ya kweli kwa watanzania.

Nikamwona mzee mwingine mstaafu aitwae Kigosi ambae nae ni wa "Tanga Line" alikuwa ile mitaa ya Jamhuri na msafisha viatu na nikashangaa kumwona pale.

Mzee Kigosi akaendelea kusema kwamba, "viongozi wengi hawana nia ya kweli ya kumsaidia huyu mzee. Wao wanangojea aondoke kwa matarajio kwamba raisi ajae atakuwa si kama huyu mwamba".

Akaendelea, " Wewe ona kila siku wasikia kuna madudu mengi yanaibuka watu wanapiga fedha nyingi zingine ni mabilioni kwenye miradi midogo tu. Watanzania wengi walizoea kutofanya kazi na kupenda maisha ya mkato, sasa wanapata taabu kwani amebana mirija hiyo".

Nikamuuliza mshona viatu kuhusu matokeo ya uchaguzi na nikampongeza kwa maono yake kwamba Tundu Lissu angeshindwa vibaya.

Mshona viatu akaendelea" Tundu Lissu ndio tegemeo la wazungu na ndio maana walihakikisha anaondoka salama Tanzania ili kwenda huko Ubelgiji kujiandaa na uchaguzi wa 2025."

Akaendelea. "wanadhani watakuwa na nafasi ingine tena ya kushinda uchaguzi ule lakini hiyo haiwezekani kwani CCM kwa sasa ndo imejizatiti kisawasawa".

Nikachomokea jina la Membe, mshona viatu akaendelea , " si umeona eeh Membe kamaliza kazi yake na yule mzee Maalim na Zitto nao wamemaliza kazi zao?"

Mshona viatu akaendelea, " kazi ya system ni kusoma mchezo na kuandaa kazi na mipango madhubuti na kama nilivyosema na waweza sema chochote lakini kwa sasa hali hali ndivyo ilivyo."

Nikamuuliza mzee Kigosi vipi anadhani ni nini serikali hii ifanye ili kuweka mambo sawa maana viongozi wengi waliopo wanaonekana wanafanya kazi kwa kutokujiamini.

Mzee Kigosi akaendelea " Raisi awape uhuru awape semina za kila mara na assurances kwamba wao ni viongozi alowaamini.

Awape miongozo kwani wengi ni vijana hivyo wana udhaifu wa kiujana ila wengi kama Bashe na Bashungwa na hata Jaffo ni viongozi makini wajao huko mbele."

Jamaa mwingine ambae alikuwa amekaa pembeni anasikiliza akaingia kutoa neno akaendelea kwamba, "JK ndie alieharibu sana hii nchi kwa miaka 10 mfululilizo na kulea taifa ambalo baadae linakuja kusumbua serikali zinazofuata."

Akaendelea, jamaa aliachia sana kila kitu na watu wengine hawakuzoea kujitafutia vipato kwa njia halali, wauza unga wengi, wakwepa kodi wengi, shule nyingi za "private" zilishamiri kuwakamua wananchi wa kawaida kwa kuondoa resources kwenye shule za serikali na kuziacha zibomoke na rasilimali za nchi kuibiwa bila Tanzania kufaidika na rasilimali hizo."

Mshona viatu akaendelea " Mji kama wa Dar wapaswa kusafishwa, ujengwe mazingira mazuri, mpangilio wa mitaa na maduka na wachuuzi wa barabarani waondolewe".

Akaendeelea, " pamoja na kwamba hawa pia ni walipa kodi lakini ni lazima waaandaliwe utaratibu mzuri wa kuuza bidhaa zao badala ya wanavyofanya sasa".

Mimi nikaangalia muda nikaona niwahi kuondoka kuelekea nyumbani Tegeta.

Nikatafakari yale niliyoyasikia lakini kikaguswa na hili la kwamba JK aliharibu sana hii nchi kwa miaka 10.

Nikajaribu kuoanisha miaka yake 10 na miaka 10 ijayo na JPM nikasema kimoyomoyo heru fikiria tungekuwa na miaka 20 ya "Hapa Kazi Tu" ingekuwaje?

Yalopita si ndwele tugange yajayo na nimeona mahala humu JF JK ataka kuandika (narudia kuandika) kitabu cha maisha yake.

JK aandike tu kitabu asijiulize ama aandike ama vipi.

JK aliingia serikalini kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 44 kijana mdogo, hivyo hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere alikuwa na matarajio yaani "expectations" kubwa juu ya JK.

Nikaangalia salio la charge kwenye simu yangu ili kuona kama naweza kuandika machache niliojifunza kutoka kwenye hichi kijiwe.

Hivi sasa nchi ipo kwenye kipindi kigumu sana serikali iko makini kutoza ushuru na kuhimiza wananchi kulipa kodi na kudai risiti.

Lakini pia serikali yapaswa kuangalia namna ya kutengeneza njia mbalimbali za kujipatia mapato zaidi.

Kwa mfano wakurugenzi wa halmashauri ni watu wa kwanza kabisa kuanza kufikiria kujipatia mapato katika halmashauri zao.

Halmashauri zaweza kuanzisha ushirikiano au "partnership" kati yao na wafanyabiashara waishio katika halmashauri hizo au hata wa kutoka nje ya halmashauri hizo na wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa njia hii, halmashauri zaweza kuwa na "city centers" yaani katikati ya mji kunakuwa na maduka, maegesho ya magari, majengo ya kukodi kwa ajili ya ofisi, majengo ya maduka au "shopping malls", vivutio vya utalii wa ndani, viburudisho kwa ajili ya familia na watoto, mitaa maalum na maduka ya kawaida.

Pia wafanya biashara au wafanyabiashara watarajiwa wanaweza kushawishiwa kujenga maduka makubwa yaani supermarkets katika vitongoji vya halmashauri hizo hivyo kuweza kuketa mapato katika maeneo hayo kupitia kutoa ajira na kuwezesha huduma zingine kujitokeza katika maeneo hayo.

Kwa kuanzia njia hii yaweza kuzipatia mapato halmashauri nyingi tu nchini kiasi cha kuweka kupunguza fedha za miradi ya maendeleo ambazo zatokea serikali kuu na kuwa ni kiasi kidogo.

Njia ya pili kwa halmashauri kuweza kuongeza mapato katika maeneo yao ni kuhakikisha kila mwananchi analipa kodi ya maendeleo na kodi ya kiwanja kwa kuwa na utaratibu wa kusajili kila kiwanja na kila nyumba.

Ukiondoa misamaha ya kodi kila mtanzania ni lazima alipe kodi ili kulata maendeleo katika maeneo yao iwe ujenzi wa shule, barabara zinazopitika kwa urahisi.

Leo hii mtoto wa shule akichaguliwa kwenda sekondari ya kata ishakuwa taabu kwani kuna njia zingine magari hupata shida kupita kutokana na ubovu wa njia au vibarabara.

Hali hii italeta ugumu wa kuishi katika baadhi ya miji na vitongoji kwani watabakia wale wenye uwezo wa kuishi maeneo hayo na wale waso na uwezo kuhamia maeneo wanayostahiki.

Raisi Magufuli ana lengo zuri ila aina ya viongozi alio nao baadhi yao hawako tayari kufuata anayotaka.

Wapo baadhi Bashe, Bashungwa, Waziri mkuu Majaliwa, Lukuvi, Jaffo, na sasa Dr Gwajima na baadhi ya manaibu waziri wanaonyesha kuunga mkono maono ya raisi JPM.

Hajachelewa, asietaka kutumikia wananchi ajiondoe na apishe wenye nia hiyo ili maendeleo tunayohitaji wananchi yatufkie kwa uharaka.

Kila waziri na kiongozi khasa wale wanaowakilisha mikoani kama wakuu wa mikoa hadi wakurugenzi wa maendeleo ni lazima aunge mkono jitihada na juhudi za serikali.

Viongozi wachemshe vichwa wawe wabunifu wasiogope kutetea maamuzi yao endapo yanaleta tija.

Ni kama vile wanangojea muda wake uishe ili aondoke na kisha waendeleze ule ujinga wetu watanzania!

Kuwajibika katika nafasi aliyo nayo mtu ndio iwe mbiu ya kuchochea maendeleo kwa kila mtanzania.

Nimemaliza kuandika ndo nafika hapa Tegeta naenda kuicharge simu yangu maana yaelekea kuzima.

Wasalaam wanaJF.
Donald Trump ndiye aliwashawishi watu waandamane, huku akiwaita ni watu mhimu sana. Siku hii ya jana katika hotuba yake anasisitiza kuwa Marekani inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na Katiba, na watu wote waliofanya maandamano na kusababisha MADHARA watachukuliwa HATUA


Trump akili zake sometime kama za Bashiru wa ccm
 
Nipo Dar-es-salaama kikazi na nimetua mitaa yangu ya katikati ya mji na nikamkumbuka msafisha viatu na maoni yake hatari ya kisiasa.

Nikakumbuka yupo mtaa wa Jamhuri lakini nilipofika pale sikumwona nikauliza mazee walokuwepo pale wakanambia kahamia mtaa wa Tandamti.

Basi kwa kuwa nilikuwa pia nataka niingie mitaa ya Kariakoo na nikakumbuka ninayo namba yake ya simu ambayo alinipatia (huwa napenda kuweka contacts za vyanzo vyangu vya habari) nikampigia.

Akanambia yupo mtaa wa Tandamti tangu mwezi wa December alipata kasehemu ka kujishikiza baada ya mjamaa aliekuwepo pale kuhamia sehemu ingine.

Basi, nikamfahamisha kwamba nikimaliza shughuli zangu pale Kariakoo ntamtafuta ili tujadili mawili matatu likiwemo suala la uchaguzi jinsi ulivyokwenda na nini ni maoni yake.

Baada ya mizunguko yangu nikaelekea mtaa wa Tandamti na pale nikamkuta anapiga kazi yake na ana wateja wapatao sita na kumbe tayari wana kikao chaendelea.

Pembeni yao alikuwepo kijana anakoka mkaa kwa ajili ya kahawa na kashata na upande mwingine alikuweo mzee mmoja ambae niliambiwa kuwa aitwa mzee Uledi mzee mashuhuri mahali pale kwa kuuza machungwa, mihogo ya kuchoma maji ya madafu na juisi maarufu ya miwa.

Hivyo hicho kilikuwa ni kijiwe tosha kabisa kuleta hamasa ya mijadala na mjadala nilioukuta ulikuwa ni wa kuhusu ugumu wa watanzania wengi wenye dhamana mbalimbali ambao wanapaswa kumsaidia raisi Magufuli na serikali yake katika kutekeleza azma ya serikali katika kuleta maendeleo ya kweli kwa watanzania.

Nikamwona mzee mwingine mstaafu aitwae Kigosi ambae nae ni wa "Tanga Line" alikuwa ile mitaa ya Jamhuri na msafisha viatu na nikashangaa kumwona pale.

Mzee Kigosi akaendelea kusema kwamba, "viongozi wengi hawana nia ya kweli ya kumsaidia huyu mzee. Wao wanangojea aondoke kwa matarajio kwamba raisi ajae atakuwa si kama huyu mwamba".

Akaendelea, " Wewe ona kila siku wasikia kuna madudu mengi yanaibuka watu wanapiga fedha nyingi zingine ni mabilioni kwenye miradi midogo tu. Watanzania wengi walizoea kutofanya kazi na kupenda maisha ya mkato, sasa wanapata taabu kwani amebana mirija hiyo".

Nikamuuliza mshona viatu kuhusu matokeo ya uchaguzi na nikampongeza kwa maono yake kwamba Tundu Lissu angeshindwa vibaya.

Mshona viatu akaendelea" Tundu Lissu ndio tegemeo la wazungu na ndio maana walihakikisha anaondoka salama Tanzania ili kwenda huko Ubelgiji kujiandaa na uchaguzi wa 2025."

Akaendelea. "wanadhani watakuwa na nafasi ingine tena ya kushinda uchaguzi ule lakini hiyo haiwezekani kwani CCM kwa sasa ndo imejizatiti kisawasawa".

Nikachomokea jina la Membe, mshona viatu akaendelea , " si umeona eeh Membe kamaliza kazi yake na yule mzee Maalim na Zitto nao wamemaliza kazi zao?"

Mshona viatu akaendelea, " kazi ya system ni kusoma mchezo na kuandaa kazi na mipango madhubuti na kama nilivyosema na waweza sema chochote lakini kwa sasa hali hali ndivyo ilivyo."

Nikamuuliza mzee Kigosi vipi anadhani ni nini serikali hii ifanye ili kuweka mambo sawa maana viongozi wengi waliopo wanaonekana wanafanya kazi kwa kutokujiamini.

Mzee Kigosi akaendelea " Raisi awape uhuru awape semina za kila mara na assurances kwamba wao ni viongozi alowaamini.

Awape miongozo kwani wengi ni vijana hivyo wana udhaifu wa kiujana ila wengi kama Bashe na Bashungwa na hata Jaffo ni viongozi makini wajao huko mbele."

Jamaa mwingine ambae alikuwa amekaa pembeni anasikiliza akaingia kutoa neno akaendelea kwamba, "JK ndie alieharibu sana hii nchi kwa miaka 10 mfululilizo na kulea taifa ambalo baadae linakuja kusumbua serikali zinazofuata."

Akaendelea, jamaa aliachia sana kila kitu na watu wengine hawakuzoea kujitafutia vipato kwa njia halali, wauza unga wengi, wakwepa kodi wengi, shule nyingi za "private" zilishamiri kuwakamua wananchi wa kawaida kwa kuondoa resources kwenye shule za serikali na kuziacha zibomoke na rasilimali za nchi kuibiwa bila Tanzania kufaidika na rasilimali hizo."

Mshona viatu akaendelea " Mji kama wa Dar wapaswa kusafishwa, ujengwe mazingira mazuri, mpangilio wa mitaa na maduka na wachuuzi wa barabarani waondolewe".

Akaendeelea, " pamoja na kwamba hawa pia ni walipa kodi lakini ni lazima waaandaliwe utaratibu mzuri wa kuuza bidhaa zao badala ya wanavyofanya sasa".

Mimi nikaangalia muda nikaona niwahi kuondoka kuelekea nyumbani Tegeta.

Nikatafakari yale niliyoyasikia lakini kikaguswa na hili la kwamba JK aliharibu sana hii nchi kwa miaka 10.

Nikajaribu kuoanisha miaka yake 10 na miaka 10 ijayo na JPM nikasema kimoyomoyo heru fikiria tungekuwa na miaka 20 ya "Hapa Kazi Tu" ingekuwaje?

Yalopita si ndwele tugange yajayo na nimeona mahala humu JF JK ataka kuandika (narudia kuandika) kitabu cha maisha yake.

JK aandike tu kitabu asijiulize ama aandike ama vipi.

JK aliingia serikalini kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 44 kijana mdogo, hivyo hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere alikuwa na matarajio yaani "expectations" kubwa juu ya JK.

Nikaangalia salio la charge kwenye simu yangu ili kuona kama naweza kuandika machache niliojifunza kutoka kwenye hichi kijiwe.

Hivi sasa nchi ipo kwenye kipindi kigumu sana serikali iko makini kutoza ushuru na kuhimiza wananchi kulipa kodi na kudai risiti.

Lakini pia serikali yapaswa kuangalia namna ya kutengeneza njia mbalimbali za kujipatia mapato zaidi.

Kwa mfano wakurugenzi wa halmashauri ni watu wa kwanza kabisa kuanza kufikiria kujipatia mapato katika halmashauri zao.

Halmashauri zaweza kuanzisha ushirikiano au "partnership" kati yao na wafanyabiashara waishio katika halmashauri hizo au hata wa kutoka nje ya halmashauri hizo na wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa njia hii, halmashauri zaweza kuwa na "city centers" yaani katikati ya mji kunakuwa na maduka, maegesho ya magari, majengo ya kukodi kwa ajili ya ofisi, majengo ya maduka au "shopping malls", vivutio vya utalii wa ndani, viburudisho kwa ajili ya familia na watoto, mitaa maalum na maduka ya kawaida.

Pia wafanya biashara au wafanyabiashara watarajiwa wanaweza kushawishiwa kujenga maduka makubwa yaani supermarkets katika vitongoji vya halmashauri hizo hivyo kuweza kuketa mapato katika maeneo hayo kupitia kutoa ajira na kuwezesha huduma zingine kujitokeza katika maeneo hayo.

Kwa kuanzia njia hii yaweza kuzipatia mapato halmashauri nyingi tu nchini kiasi cha kuweka kupunguza fedha za miradi ya maendeleo ambazo zatokea serikali kuu na kuwa ni kiasi kidogo.

Njia ya pili kwa halmashauri kuweza kuongeza mapato katika maeneo yao ni kuhakikisha kila mwananchi analipa kodi ya maendeleo na kodi ya kiwanja kwa kuwa na utaratibu wa kusajili kila kiwanja na kila nyumba.

Ukiondoa misamaha ya kodi kila mtanzania ni lazima alipe kodi ili kulata maendeleo katika maeneo yao iwe ujenzi wa shule, barabara zinazopitika kwa urahisi.

Leo hii mtoto wa shule akichaguliwa kwenda sekondari ya kata ishakuwa taabu kwani kuna njia zingine magari hupata shida kupita kutokana na ubovu wa njia au vibarabara.

Hali hii italeta ugumu wa kuishi katika baadhi ya miji na vitongoji kwani watabakia wale wenye uwezo wa kuishi maeneo hayo na wale waso na uwezo kuhamia maeneo wanayostahiki.

Raisi Magufuli ana lengo zuri ila aina ya viongozi alio nao baadhi yao hawako tayari kufuata anayotaka.

Wapo baadhi Bashe, Bashungwa, Waziri mkuu Majaliwa, Lukuvi, Jaffo, na sasa Dr Gwajima na baadhi ya manaibu waziri wanaonyesha kuunga mkono maono ya raisi JPM.

Hajachelewa, asietaka kutumikia wananchi ajiondoe na apishe wenye nia hiyo ili maendeleo tunayohitaji wananchi yatufkie kwa uharaka.

Kila waziri na kiongozi khasa wale wanaowakilisha mikoani kama wakuu wa mikoa hadi wakurugenzi wa maendeleo ni lazima aunge mkono jitihada na juhudi za serikali.

Viongozi wachemshe vichwa wawe wabunifu wasiogope kutetea maamuzi yao endapo yanaleta tija.

Ni kama vile wanangojea muda wake uishe ili aondoke na kisha waendeleze ule ujinga wetu watanzania!

Kuwajibika katika nafasi aliyo nayo mtu ndio iwe mbiu ya kuchochea maendeleo kwa kila mtanzania.

Nimemaliza kuandika ndo nafika hapa Tegeta naenda kuicharge simu yangu maana yaelekea kuzima.

Wasalaam wanaJF.
Umebarikiwa kwa Majungu mkuu Hongera sana
 
Katika marais walioiharibu nchi ni magu...
Ameshindwa kuifanya serikali iwe inapelekewa kodi na wafanyabiashara matokeo yake serikali ndio inafuata kodi.

Moja ya eneo ambalo anafanya kosa kubwa sana ni kujenga uadui na wafanyabiashara huku akijua ndio sekta muhimu sana kwa taifa, kila siku anabuni mbinu za kuinyonya badala kuisaidia izidi kukua
Mfano sasa hivi wametakiwa kuweka barcord kwenye risiti za mashine ya EFD na gharama yake ni laki na nusu si wizi kabisa huu?

Umezungumza habari ya wamachinga, hawa wapo kwa kazi rasmi ya kuua wafanyabiashara wakubwa na ni mpango mkakati maalumu na wala usitarajie waondolewe awamu hii,
Ndio maana wao hawalipi kodi zaidi ya kitambulisho tu haijalishi ana mtaji mkubwa kiasi gani, wala hawatakiwi kutoa risiti wakati sheria inasema risiti inatolewa kuanzia bidhaa ya sh 500,

Akikamatwa mwenye duka hajatoa risiti hata ya 1000 faini milioni 3 mmachinga hata auze bidhaa ya laki haina shida,

Mwenye duka analipa kodi lukuki
1)kodi ya mapato,
2)leseni ya biashara,
3)huduma ya jiji (service leavy)
4)mkataba wa frem au stoo nao unalipiwa kodi.
5)fire extingisher
6)huduma za taka
7)kodi ya frem na stoo kama anayo
Mmachinga hapo analipa elfu 20 kamaliza kazi.
Biashara za maduka nchini zimedorora sana, yaani mfanyabiashara serikali hii anadharauliwa sana hasikilizwi tena yaani kifupi ni adui wa serikali.

Ukiona tawi ya benk kubwa kama NMB kkoo senta tangu lifunguliwe 2012 wanatoa huduma hadi siku za jumapili lakini sasa hivi hawafungui ujue kuna shida pamoja maduka ya kuabadili fedha kufungwa watu wanabadilisha bank lkn bank zinafungwa,
Ukiona bank zinafunga matawi yao katikati ya mji kama kkoo ujue ipo shida mahali tena kubwa sana.

Kuna mengi ya unyanyasaji wa wafanyabiashara tunayajua lakini siwezi kuyaandika hapa sababu sasa hivi jf ni kama fb haina uhuru tena nisije kupelekwa kusikojulikana.

Kwa mkakati wake huu wala hatushangai maana alishasema mapemaaa "WAFANYABIASHARA NA MATAJIRI WATAISHI KAMA MASHETANI"

Kwa hiyo kwa mfumo huu ni kusubiri tu atoke madarakani hakuna namna, mfumo wake wa kiuongozi hauzoeleki wala haiwezekani kwenda nae sawa ndio maana hata viongozi wenzake wanamuogopa sio kumuheshimu.
 
Ni kweli hata huko uliko kama ni USA tumeona mfumo kushindwa kutekeleza majukumu yake na kuachia "the rise of Donald Trump" akisaidiwa na mafashisti.

Ndio, hata ujerumani mwaka 1933 walimwachia Hitler akapanda lakini wale walikuwa wajerumani wanazi.

Watanzania tulizoea maisha ya kupata bila jasho hivyo sasa twafunzwa kutafuta kwa jasho twaona taabu na shida kubwa.

Yawezekana tatizo ni mfumo au kama ulivyosema lakini ni "better off" kwa huyu wa sasa na atakuwa "judged" kutokana na anayoyafanya sasa.

He has good intentions lakini anazungukwa na mfumo ambao ni corrupt and toxic na hauko tayari kutafuta "compromise" kwa ajili ya maslahi ya taifa.

JK ni sehemu kubwa ya tatizo kwa kuwa yeye alijenga himaya yake na mitandao nchi nzima nje ya nchi.

Nafahamu wamo humu watu wanamtetea lakini JK ndie kaharibu hii nchi na kuwapa shida wengine wajao hata iwe ni Tundu Lissu.

Kwanza mfumo hautakubali aje mtu mwingine alie nje yake.
Alieharibu nchi kwa 80%ni mkapa huo ndio ukweli usiosemwa na wengi.
 
Nipo Dar-es-salaama kikazi na nimetua mitaa yangu ya katikati ya mji na nikamkumbuka msafisha viatu na maoni yake hatari ya kisiasa.

Nikakumbuka yupo mtaa wa Jamhuri lakini nilipofika pale sikumwona nikauliza mazee walokuwepo pale wakanambia kahamia mtaa wa Tandamti.

Basi kwa kuwa nilikuwa pia nataka niingie mitaa ya Kariakoo na nikakumbuka ninayo namba yake ya simu ambayo alinipatia (huwa napenda kuweka contacts za vyanzo vyangu vya habari) nikampigia.

Akanambia yupo mtaa wa Tandamti tangu mwezi wa December alipata kasehemu ka kujishikiza baada ya mjamaa aliekuwepo pale kuhamia sehemu ingine.

Basi, nikamfahamisha kwamba nikimaliza shughuli zangu pale Kariakoo ntamtafuta ili tujadili mawili matatu likiwemo suala la uchaguzi jinsi ulivyokwenda na nini ni maoni yake.

Baada ya mizunguko yangu nikaelekea mtaa wa Tandamti na pale nikamkuta anapiga kazi yake na ana wateja wapatao sita na kumbe tayari wana kikao chaendelea.

Pembeni yao alikuwepo kijana anakoka mkaa kwa ajili ya kahawa na kashata na upande mwingine alikuweo mzee mmoja ambae niliambiwa kuwa aitwa mzee Uledi mzee mashuhuri mahali pale kwa kuuza machungwa, mihogo ya kuchoma maji ya madafu na juisi maarufu ya miwa.

Hivyo hicho kilikuwa ni kijiwe tosha kabisa kuleta hamasa ya mijadala na mjadala nilioukuta ulikuwa ni wa kuhusu ugumu wa watanzania wengi wenye dhamana mbalimbali ambao wanapaswa kumsaidia raisi Magufuli na serikali yake katika kutekeleza azma ya serikali katika kuleta maendeleo ya kweli kwa watanzania.

Nikamwona mzee mwingine mstaafu aitwae Kigosi ambae nae ni wa "Tanga Line" alikuwa ile mitaa ya Jamhuri na msafisha viatu na nikashangaa kumwona pale.

Mzee Kigosi akaendelea kusema kwamba, "viongozi wengi hawana nia ya kweli ya kumsaidia huyu mzee. Wao wanangojea aondoke kwa matarajio kwamba raisi ajae atakuwa si kama huyu mwamba".

Akaendelea, " Wewe ona kila siku wasikia kuna madudu mengi yanaibuka watu wanapiga fedha nyingi zingine ni mabilioni kwenye miradi midogo tu. Watanzania wengi walizoea kutofanya kazi na kupenda maisha ya mkato, sasa wanapata taabu kwani amebana mirija hiyo".

Nikamuuliza mshona viatu kuhusu matokeo ya uchaguzi na nikampongeza kwa maono yake kwamba Tundu Lissu angeshindwa vibaya.

Mshona viatu akaendelea" Tundu Lissu ndio tegemeo la wazungu na ndio maana walihakikisha anaondoka salama Tanzania ili kwenda huko Ubelgiji kujiandaa na uchaguzi wa 2025."

Akaendelea. "wanadhani watakuwa na nafasi ingine tena ya kushinda uchaguzi ule lakini hiyo haiwezekani kwani CCM kwa sasa ndo imejizatiti kisawasawa".

Nikachomokea jina la Membe, mshona viatu akaendelea , " si umeona eeh Membe kamaliza kazi yake na yule mzee Maalim na Zitto nao wamemaliza kazi zao?"

Mshona viatu akaendelea, " kazi ya system ni kusoma mchezo na kuandaa kazi na mipango madhubuti na kama nilivyosema na waweza sema chochote lakini kwa sasa hali hali ndivyo ilivyo."

Nikamuuliza mzee Kigosi vipi anadhani ni nini serikali hii ifanye ili kuweka mambo sawa maana viongozi wengi waliopo wanaonekana wanafanya kazi kwa kutokujiamini.

Mzee Kigosi akaendelea " Raisi awape uhuru awape semina za kila mara na assurances kwamba wao ni viongozi alowaamini.

Awape miongozo kwani wengi ni vijana hivyo wana udhaifu wa kiujana ila wengi kama Bashe na Bashungwa na hata Jaffo ni viongozi makini wajao huko mbele."

Jamaa mwingine ambae alikuwa amekaa pembeni anasikiliza akaingia kutoa neno akaendelea kwamba, "JK ndie alieharibu sana hii nchi kwa miaka 10 mfululilizo na kulea taifa ambalo baadae linakuja kusumbua serikali zinazofuata."

Akaendelea, jamaa aliachia sana kila kitu na watu wengine hawakuzoea kujitafutia vipato kwa njia halali, wauza unga wengi, wakwepa kodi wengi, shule nyingi za "private" zilishamiri kuwakamua wananchi wa kawaida kwa kuondoa resources kwenye shule za serikali na kuziacha zibomoke na rasilimali za nchi kuibiwa bila Tanzania kufaidika na rasilimali hizo."

Mshona viatu akaendelea " Mji kama wa Dar wapaswa kusafishwa, ujengwe mazingira mazuri, mpangilio wa mitaa na maduka na wachuuzi wa barabarani waondolewe".

Akaendeelea, " pamoja na kwamba hawa pia ni walipa kodi lakini ni lazima waaandaliwe utaratibu mzuri wa kuuza bidhaa zao badala ya wanavyofanya sasa".

Mimi nikaangalia muda nikaona niwahi kuondoka kuelekea nyumbani Tegeta.

Nikatafakari yale niliyoyasikia lakini kikaguswa na hili la kwamba JK aliharibu sana hii nchi kwa miaka 10.

Nikajaribu kuoanisha miaka yake 10 na miaka 10 ijayo na JPM nikasema kimoyomoyo heru fikiria tungekuwa na miaka 20 ya "Hapa Kazi Tu" ingekuwaje?

Yalopita si ndwele tugange yajayo na nimeona mahala humu JF JK ataka kuandika (narudia kuandika) kitabu cha maisha yake.

JK aandike tu kitabu asijiulize ama aandike ama vipi.

JK aliingia serikalini kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 44 kijana mdogo, hivyo hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere alikuwa na matarajio yaani "expectations" kubwa juu ya JK.

Nikaangalia salio la charge kwenye simu yangu ili kuona kama naweza kuandika machache niliojifunza kutoka kwenye hichi kijiwe.

Hivi sasa nchi ipo kwenye kipindi kigumu sana serikali iko makini kutoza ushuru na kuhimiza wananchi kulipa kodi na kudai risiti.

Lakini pia serikali yapaswa kuangalia namna ya kutengeneza njia mbalimbali za kujipatia mapato zaidi.

Kwa mfano wakurugenzi wa halmashauri ni watu wa kwanza kabisa kuanza kufikiria kujipatia mapato katika halmashauri zao.

Halmashauri zaweza kuanzisha ushirikiano au "partnership" kati yao na wafanyabiashara waishio katika halmashauri hizo au hata wa kutoka nje ya halmashauri hizo na wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa njia hii, halmashauri zaweza kuwa na "city centers" yaani katikati ya mji kunakuwa na maduka, maegesho ya magari, majengo ya kukodi kwa ajili ya ofisi, majengo ya maduka au "shopping malls", vivutio vya utalii wa ndani, viburudisho kwa ajili ya familia na watoto, mitaa maalum na maduka ya kawaida.

Pia wafanya biashara au wafanyabiashara watarajiwa wanaweza kushawishiwa kujenga maduka makubwa yaani supermarkets katika vitongoji vya halmashauri hizo hivyo kuweza kuketa mapato katika maeneo hayo kupitia kutoa ajira na kuwezesha huduma zingine kujitokeza katika maeneo hayo.

Kwa kuanzia njia hii yaweza kuzipatia mapato halmashauri nyingi tu nchini kiasi cha kuweka kupunguza fedha za miradi ya maendeleo ambazo zatokea serikali kuu na kuwa ni kiasi kidogo.

Njia ya pili kwa halmashauri kuweza kuongeza mapato katika maeneo yao ni kuhakikisha kila mwananchi analipa kodi ya maendeleo na kodi ya kiwanja kwa kuwa na utaratibu wa kusajili kila kiwanja na kila nyumba.

Ukiondoa misamaha ya kodi kila mtanzania ni lazima alipe kodi ili kulata maendeleo katika maeneo yao iwe ujenzi wa shule, barabara zinazopitika kwa urahisi.

Leo hii mtoto wa shule akichaguliwa kwenda sekondari ya kata ishakuwa taabu kwani kuna njia zingine magari hupata shida kupita kutokana na ubovu wa njia au vibarabara.

Hali hii italeta ugumu wa kuishi katika baadhi ya miji na vitongoji kwani watabakia wale wenye uwezo wa kuishi maeneo hayo na wale waso na uwezo kuhamia maeneo wanayostahiki.

Raisi Magufuli ana lengo zuri ila aina ya viongozi alio nao baadhi yao hawako tayari kufuata anayotaka.

Wapo baadhi Bashe, Bashungwa, Waziri mkuu Majaliwa, Lukuvi, Jaffo, na sasa Dr Gwajima na baadhi ya manaibu waziri wanaonyesha kuunga mkono maono ya raisi JPM.

Hajachelewa, asietaka kutumikia wananchi ajiondoe na apishe wenye nia hiyo ili maendeleo tunayohitaji wananchi yatufkie kwa uharaka.

Kila waziri na kiongozi khasa wale wanaowakilisha mikoani kama wakuu wa mikoa hadi wakurugenzi wa maendeleo ni lazima aunge mkono jitihada na juhudi za serikali.

Viongozi wachemshe vichwa wawe wabunifu wasiogope kutetea maamuzi yao endapo yanaleta tija.

Ni kama vile wanangojea muda wake uishe ili aondoke na kisha waendeleze ule ujinga wetu watanzania!

Kuwajibika katika nafasi aliyo nayo mtu ndio iwe mbiu ya kuchochea maendeleo kwa kila mtanzania.

Nimemaliza kuandika ndo nafika hapa Tegeta naenda kuicharge simu yangu maana yaelekea kuzima.

Wasalaam wanaJF.
Mjumbe Dock upo Dar es Salaam "kikazi"? Kazi gani hiyo Brooks? Uko Dar es Salaam, umetokea wapi? Kazi yako huko wapi ni nini? Unamtafuta mshona viatu City centre na kariakoo na gongo la mboto, ndiyo kazi yenyewekutupa sera za mshona viatu?
 
Back
Top Bottom