Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Acha kulinganisha aliyeijenga nchi nzima bila ubaguzi mwingine kajenga Kijiji chake na labda dar pekeee kupitia Kodi za nchi nzimaNaona wasema wakati wa Mkapa mambo yalikuwa nafuu akaja JK akaharibu.
Hivyo JPM hawezi kulaumiwa kwa hitilafu za miaka 10 kabla yake.