Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
- Thread starter
- #21
😂🤣😅🤣 🤣 🤣 🤣
😂🤣😅🤣 🤣 🤣 🤣
Time will come ambapo wanaume marijali tutahitaji ulinzi mkali sana, maana tutakuwa tukiwindwa na mashoga, wanawake na pia wale wanaume wasioweza kubebesha mimba watakuwa wakituwinda ili tukawape wake zao watotoaisee, nimecheka sana
Hata bangiAlafu nyeto ndio inaongeza nguvu bwana
Wanakuaje makini? Wapime kwa show kabla hawajaingia?Sio kila mtu mwenye maumbile ya kiume ni mwanaume.
Kwenye wanaume 100 kuna wanaume walio kamilika 16 tu.
54 wana low sperm count
7 mashoga
33 hawana nguvu za kiume kutokana na punyeto, magonjwa ya zinaa, ulevi ulio kithiri wa pombe, madawa ya kulevya etc, kisukari na magonjwa mengine ya muda mrefu
Ndio wajiongezeWanakuaje makini? Wapime kwa show kabla hawajaingia?
Hao single mama walivyowengi wanazalishwa na wanaume 16 tu katka kila mia?Sio kila mtu mwenye maumbile ya kiume ni mwanaume.
Kwenye wanaume 100 kuna wanaume walio kamilika 16 tu.
54 wana low sperm count
7 mashoga
33 hawana nguvu za kiume kutokana na punyeto, magonjwa ya zinaa, ulevi ulio kithiri wa pombe, madawa ya kulevya etc, kisukari na magonjwa mengine ya muda mrefu
Ndio. Kwani meanamume mmoja rijali anakuwa na WANAWAKE wangapi? Achana na wale wa one night standHao single mama walivyowengi wanazalishwa na wanaume 16 tu katka kila mia?
Mkuu kama wewe ni mwanaume mwezetu umefanyaje huu utafiti?Kwani kila mvuta bangi lazima awe kichaa?
Haha hahah hahah hahah njoo kinondoni uoneAcha kujipendekeza kwa wanawake we Jamaa
Nenda kwnda ya ziwa uone idadi ya watoto.
Au Ni wanaume gani unaowaongelea?
54+7+33= 94Sio kila mtu mwenye maumbile ya kiume ni mwanaume.
Kwenye wanaume 100 kuna wanaume walio kamilika 16 tu.
54 wana low sperm count
7 mashoga
33 hawana nguvu za kiume kutokana na punyeto, magonjwa ya zinaa, ulevi ulio kithiri wa pombe, madawa ya kulevya etc, kisukari na magonjwa mengine ya muda mrefu
Tupo vizuri wanaume tuliobaki.Ndio. Kwani meanamume mmoja rijali anakuwa na WANAWAKE wangapi? Achana na wale wa one night stand
uyu ndie wewe ?Haha hahah hahah hahah njoo kinondoni uone
View attachment 1745606
Unaweza ukahisi unasimamia ukucha kumbe hali si hivyo. Haya mambo wakati mwingine hata usijisifie sana.muongo muongo muongo , nimepiga nyeto miaka 10 na nasimamia ukucha kama kawa
yeye mwenyewe ndio ananambia, so ananiongopea ?Unaweza ukahisi unasimamia ukucha kumbe hali si hivyo. Haya mambo wakati mwingine hata usijisifie sana.