PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 879
- 956
Wizara ya Viwanda, Biashara kupitia TanTrade kwa mara nyingine inaandaa Maonesho ya Saba (7) ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yaliyopangwa kufanyika tarehe 3 - 9 Disemba, 2022 katika Uwanja wa Mwl. J. K. Nyerere Barabara ya Kilwa Dar es Salaam.
Maonesho haya yanalenga kujenga jukwaa ambalo Wadau wa Sekta ya Viwanda watapata fursa ya kujadiliana, kubadilishana uzoefu na kutangaza fursa zilizopo katika Sekta hiyo.
#NunuaChaKwetu
Maonesho haya yanalenga kujenga jukwaa ambalo Wadau wa Sekta ya Viwanda watapata fursa ya kujadiliana, kubadilishana uzoefu na kutangaza fursa zilizopo katika Sekta hiyo.
#NunuaChaKwetu