Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,258
- 5,961
Mungu wangu naomba usiku huu ukawe usiku uliobeba jawabu hitaji langu na ukawe mwanzo wa maisha ya furaha na tabasamu kwangu
Bwana njia zako hazichunguziki za kuwajibu waja wako, wakati mwingine huwajia katika ndoto na kuwapa taswira za kesho zao njema kwa kuwapa taswira ulimwengu wa ndoto
Bwana ulishawahi kufanya hivyo kwa wateule wako uliwapa taswira na maono uliyoyapanda kwao katika ndoto nao wakayakaishi maono
Bwana wakati mwingine niombacho sisitahili ila wewe huwastahilisha wale wenye uhitaji. Bwana nistahilishe mahala au kwenye maisha ya matamanio yangu kwa utukufu wako
Bwana ulisema tuombe kwako maana wewe si kiziwi utatusikia na utatundea wema wako basi nami naomba niwe miongoni mwa watakaotendewa wema wako kwenye haja zao
Bwana yawezekana ninachopitia leo ni makosa yangu ya uchaguzi ulinionisababishia maumivu haya yawezekana sikustahili ila makosa yangu mwenyewe basi naomba huruma yako mja wak
Bwana yawezekana nimesababishiwa hili anguko kwa hila za wanadamu wala sikudhamiria. Yawezekana ni makwazo yao yamenileteleza anguko hili kwasababu nami ni mwanadamu nikakwazika kukanipelekea kuanguka kwenye hili linaloniumiza sasa.
Bwana maandiko yako yanasema, ijapokuwa utajaribiwa kwa namna mbalimbali ila utafurahi sana wakati ujao. Bwana niwe mwenye furaha nyakati zijazo kama maandiko yako yasemavyo
Naomba kesho yangu iwe kesho iliyobeba ushuhuda wa maneno HAIKUWA RAHISI ILA NI MUNGU TU alitenda kwangu nami nakawa hivi
Bwana kama kuomba kwangu kusipokuwa kitu basi huruma yako iliyojaa upendo inirehemu mimi mja wako nistahili hata kama sisistahili vile niombavyo kwako unitendee wema wako.
Bwana njia zako hazichunguziki za kuwajibu waja wako, wakati mwingine huwajia katika ndoto na kuwapa taswira za kesho zao njema kwa kuwapa taswira ulimwengu wa ndoto
Bwana ulishawahi kufanya hivyo kwa wateule wako uliwapa taswira na maono uliyoyapanda kwao katika ndoto nao wakayakaishi maono
Bwana wakati mwingine niombacho sisitahili ila wewe huwastahilisha wale wenye uhitaji. Bwana nistahilishe mahala au kwenye maisha ya matamanio yangu kwa utukufu wako
Bwana ulisema tuombe kwako maana wewe si kiziwi utatusikia na utatundea wema wako basi nami naomba niwe miongoni mwa watakaotendewa wema wako kwenye haja zao
Bwana yawezekana ninachopitia leo ni makosa yangu ya uchaguzi ulinionisababishia maumivu haya yawezekana sikustahili ila makosa yangu mwenyewe basi naomba huruma yako mja wak
Bwana yawezekana nimesababishiwa hili anguko kwa hila za wanadamu wala sikudhamiria. Yawezekana ni makwazo yao yamenileteleza anguko hili kwasababu nami ni mwanadamu nikakwazika kukanipelekea kuanguka kwenye hili linaloniumiza sasa.
Bwana maandiko yako yanasema, ijapokuwa utajaribiwa kwa namna mbalimbali ila utafurahi sana wakati ujao. Bwana niwe mwenye furaha nyakati zijazo kama maandiko yako yasemavyo
Naomba kesho yangu iwe kesho iliyobeba ushuhuda wa maneno HAIKUWA RAHISI ILA NI MUNGU TU alitenda kwangu nami nakawa hivi
Bwana kama kuomba kwangu kusipokuwa kitu basi huruma yako iliyojaa upendo inirehemu mimi mja wako nistahili hata kama sisistahili vile niombavyo kwako unitendee wema wako.