issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Ndugu viongozi wa JamiiForums, mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 29 nikiwa nina elimu ya chuo kikuu, naomba kuwasilisha maombi ya kuomba kazi ya kuwa MODERATOR wa KUJITOLEA katika kampuni yenu ya Jamii Media upande wa JamiiForums.
Sina uzoefu wa kutosha katika kazi hii lakini ninaahidi kuwa nitajituma kwa uwezo wangu wote na kujifunza kwa wafanyakazi nitakaowakuta bila kuwaangusha.
Nina uzoefu na elimu ya kutosha kuhusu maswala ya computer pia nimejifunza na nina uwezo mkubwa katika uandishi wa lugha za kiswahili na kingereza. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote mtakao pitia maombi yangu na kuyatolea maamuzi chanya.
Wenu mtiifu ISSA RAMADHANI
Sina uzoefu wa kutosha katika kazi hii lakini ninaahidi kuwa nitajituma kwa uwezo wangu wote na kujifunza kwa wafanyakazi nitakaowakuta bila kuwaangusha.
Nina uzoefu na elimu ya kutosha kuhusu maswala ya computer pia nimejifunza na nina uwezo mkubwa katika uandishi wa lugha za kiswahili na kingereza. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote mtakao pitia maombi yangu na kuyatolea maamuzi chanya.
Wenu mtiifu ISSA RAMADHANI