Maombi na mafungo ya Lema yajibiwa

Maombi na mafungo ya Lema yajibiwa

dotto

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
1,725
Reaction score
257
Ndugu wanaJf kama mnakumbuka baada ya sakata la kuvuliwa ubunge na mahakama katika hali ya mizengwe Mh.Lema alisema nafunga kwa siku saba. Na kama mnavyoona mkanganyiko ulioko Arusha ndani ya CCM ni dhahiri kuwa Mungu anajibu mapema. Naona tusubiri mengine mengi tu!!
 
Kama haya majibu ya mfungo wake naomba atutajie jina lake na wengine tumuombe, hali ya uchumi sio nzuri.
 
Kama haya majibu ya mfungo wake naomba atutajie jina lake na wengine tumuombe, hali ya uchumi sio nzuri.

Mkuu ufalme wa Mungu uko ndani ya mtu na sio barabarani na wala kwa jirani. But, alichoamua yeye Lema kilianzia ndani yake na kukifanyia kazi mwenyewe na Mungu wake. Jaribu na utaona!!
 
Sidhani kama alishalifikiria hilo. labda kama utalianzisha hilo wazo lako na isije ukatangulia wewe!!
 
Wacha mchezo na mwombaji mpiga magoti, na ujue kaburi wanalowachibia Chadema, wao ccm watatumbukia wenyewe c'est fini, kwisha habari yao.
 
Nchi hii tulipewa na wakoloni weupe kwa amani tupu itakuwa hawa wakoloni weusi. inawezekana kabisa kwa maombi tu mambo yakajipa soon.
 
miujiza haikuishia kwa wana wa israel bali mpaka leo ipo haki haipote kwa ujinga wa wachache hata kama si lema kuna wengine wanaomba kwa roho za huzuni wakiona jinsi gani nchi inanyonywa na maombi, kilio, na sema nabado mtaona mengi sana
 
Tunaambiwa hii ya Leo ni mtoto, tusubirie mtikisiko wa magamba hapo kesho!

Wao wana Fedha za Freemason

Sisi CHADEMA tuna Mungu!
 
Ninachoju kabisa kabisa, Mungu huwa anajibu maombi yanayofuata neno lake.

Kuna hii: [SUP]14[/SUP]And this is the boldness which we have toward him, that, if we ask anything according to his will, he heareth us: [SUP]15[/SUP]and if we know that he heareth us whatsoever we ask, we know that we have the petitions which we have asked of him American Standard Version. 1995 . Logos Research Systems, Inc.: Oak Harbor, WA (1 John 5:14)
 
Omba Lema, hata kama ubunge huna but CDM watakupa kazi ya kipato tu. We love you all. Watapata pigo mara mia saba sabini! Nakusifu na wafuasi wako AR mmedumisha amani. I lways tell people CDM ni chama cha amani. Wanaoleta fuji CDM ni mamluki wa CCM kama akina Milya. I love peoples power, tuanze kampeni za urais mapema.
 
kamanda Lema hapo nimekupa zote sasa magamba full presure,na bado hata baba mwanaisha yuko mbioni kusepa
 
Ndugu wanaJf kama mnakumbuka baada ya sakata la kuvuliwa ubunge na mahakama katika hali ya mizengwe Mh.Lema alisema nafunga kwa siku saba. Na kama mnavyoona mkanganyiko ulioko Arusha ndani ya CCM ni dhahiri kuwa Mungu anajibu mapema. Naona tusubiri mengine mengi tu!!

kweli yakheee.
 
Back
Top Bottom