Maombi kwa Lissu

Maombi kwa Lissu

B-2 STEALTH BOMBER

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
4,649
Reaction score
6,411
Wakuu habari zenu hapa.
Sijawahi kuandaa na kuandika uzi hapa.

Ila huu uzi uwe maalumu kwa ajili ya kumuombea ndugu yetu, mzalendo, mpenda haki na mpenda sheria na mpenda mabadiliko yenye faida kwa taifa hili.

Si mwingine bali ni #NIYEYE Mhe/Ndugu Tindu A Lissu.
Naanza na sala kutoka nafsini mwangu.

Mungu baba mwenye enzi yote naomba kukushukuru kwa pumzi hii na nafasi ya uhai huu, baba unisamehe yote niliyotenda kinyume na amri zako/mapenzi yako, baba tuzidishie uzima na naomba umpe ulinzi ndugu TUNDU A LISSU na wote wenye kupigania haki ya wa Tanzania. Weka ulinzi wako kila amkapo, alalapo anapokula na kila anapo simama kutembea au chochote kile umlinde kwa damu ya mwanao YESU kristo.
Mkinge na hila majini wachawi waganga na masadukayo yoote.

Muepushe na mabaya wapangayo mafarisayo. Mpe afya zaidi.
Sote tuseme Ameeen
Kila mtu asali kwa imani yake.

ONYO.
Huu uzi sitaki maombi mabaya. Tutazinguana
Ukiomba mabaya yakupate wewe mwenyewe.
 
Wakuu habari zenu hapa.
Sijawahi kuandaa na kuandika uzi hapa.

Ila huu uzi uwe maalumu kwa ajili ya kumuombea ndugu yetu, mzalendo, mpenda haki na mpenda sheria na mpenda mabadiliko yenye faida kwa taifa hili.

Si mwingine bali ni #NIYEYE Mhe/Ndugu Tindu A Lissu.
Naanza na sala kutoka nafsini mwangu.

Mungu baba mwenye enzi yote naomba kukushukuru kwa pumzi hii na nafasi ya uhai huu, baba unisamehe yote niliyotenda kinyume na amri zako/mapenzi yako, baba tuzidishie uzima na naomba umpe ulinzi ndugu TUNDU A LISSU na wote wenye kupigania haki ya wa Tanzania. Weka ulinzi wako kila amkapo, alalapo anapokula na kila anapo simama kutembea au chochote kile umlinde kwa damu ya mwanao YESU kristo.
Mkinge na hila majini wachawi waganga na masadukayo yoote.

Muepushe na mabaya wapangayo mafarisayo. Mpe afya zaidi.
Sote tuseme Ameeen
Kila mtu asali kwa imani yake.

ONYO.
Huu uzi sitaki maombi mabaya. Tutazinguana
Ukiomba mabaya yakupate wewe mwenyewe.
Msikie hapa akitaka kukinukisha:-

 
Wakuu habari zenu hapa.
Sijawahi kuandaa na kuandika uzi hapa.

Ila huu uzi uwe maalumu kwa ajili ya kumuombea ndugu yetu, mzalendo, mpenda haki na mpenda sheria na mpenda mabadiliko yenye faida kwa taifa hili.

Si mwingine bali ni #NIYEYE Mhe/Ndugu Tindu A Lissu.
Naanza na sala kutoka nafsini mwangu.

Mungu baba mwenye enzi yote naomba kukushukuru kwa pumzi hii na nafasi ya uhai huu, baba unisamehe yote niliyotenda kinyume na amri zako/mapenzi yako, baba tuzidishie uzima na naomba umpe ulinzi ndugu TUNDU A LISSU na wote wenye kupigania haki ya wa Tanzania. Weka ulinzi wako kila amkapo, alalapo anapokula na kila anapo simama kutembea au chochote kile umlinde kwa damu ya mwanao YESU kristo.
Mkinge na hila majini wachawi waganga na masadukayo yoote.

Muepushe na mabaya wapangayo mafarisayo. Mpe afya zaidi.
Sote tuseme Ameeen
Kila mtu asali kwa imani yake.

ONYO.
Huu uzi sitaki maombi mabaya. Tutazinguana
Ukiomba mabaya yakupate wewe mwenyewe.
Mungu aliyemwokoa Daniel kwenye tundu la Simba yuko na Lissu pia
 
Ila huu uzi uwe maalumu kwa ajili ya kumuombea ndugu yetu, mzalendo, mpenda haki na mpenda sheria na mpenda mabadiliko yenye faida kwa taifa hili.

Si mwingine bali ni #NIYEYE Mhe/Ndugu Tindu A Lissu.
Naanza na sala kutoka nafsini mwangu.
👏👏👏
 
God bless Tundu Lissu.

Waovu wote walioshiriki na wanaoshiriki wanaomtesa Tundu Lissu nakuomba Mungu uwape pigo Takatifu ndani ya miezi hii mitatu kuanzia sasa hadi Julai 2025, AMINA.
 
Wakuu habari zenu hapa.
Sijawahi kuandaa na kuandika uzi hapa.

Ila huu uzi uwe maalumu kwa ajili ya kumuombea ndugu yetu, mzalendo, mpenda haki na mpenda sheria na mpenda mabadiliko yenye faida kwa taifa hili.

Si mwingine bali ni #NIYEYE Mhe/Ndugu Tindu A Lissu.
Naanza na sala kutoka nafsini mwangu.

Mungu baba mwenye enzi yote naomba kukushukuru kwa pumzi hii na nafasi ya uhai huu, baba unisamehe yote niliyotenda kinyume na amri zako/mapenzi yako, baba tuzidishie uzima na naomba umpe ulinzi ndugu TUNDU A LISSU na wote wenye kupigania haki ya wa Tanzania. Weka ulinzi wako kila amkapo, alalapo anapokula na kila anapo simama kutembea au chochote kile umlinde kwa damu ya mwanao YESU kristo.
Mkinge na hila majini wachawi waganga na masadukayo yoote.

Muepushe na mabaya wapangayo mafarisayo. Mpe afya zaidi.
Sote tuseme Ameeen
Kila mtu asali kwa imani yake.

ONYO.
Huu uzi sitaki maombi mabaya. Tutazinguana
Ukiomba mabaya yakupate wewe mwenyewe.
Baba ktk Jina la Yesu Kristo umsaidie na kumlinda ndugu Tundu Lisu ili aspate matatizo. Mpe hekima na busara ktk kutetea haki za watanzania na imperial ushindi ktk yote yaliyotoka kwako. Katika Jina la Yesu Kristo.
 
God bless Tundu Lissu.

Waovu wote walioshiriki na wanaoshiriki wanaomtesa Tundu Lissu nakuomba Mungu uwape pigo Takatifu ndani ya miezi hii mitatu kuanzia sasa hadi Julai 2025, AMINA.
Amina sana mtumishi
 
Baba ktk Jina la Yesu Kristo umsaidie na kumlinda ndugu Tundu Lisu ili aspate matatizo. Mpe hekima na busara ktk kutetea haki za watanzania na imperial ushindi ktk yote yaliyotoka kwako. Katika Jina la Yesu Kristo.
Amina mkuu
 
Uzi wangu nimetoa onyo kuwa kima kama wewe sizitaki hapa.
Kama wewe pimbi hutaki comments basi bakia ndani ya inbox yako, uandike mwenyewe na ujisifie mwenyewe.

JF ni jukwaa huru la wenye akili, jiandae kupokea hoja za kuungwa mkono na kupingwa pia
 
Back
Top Bottom