Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
- Thread starter
- #21
Umetujibu sawaaaa sisi hatuwapetipetii jamani*Mwanamke unamkuta hajaoga tangu asubuhi ananuka papuchi........
*Ukirudi kwenye mihangaiko ni buugu mtindo mmoja..........
*Chakula hajui kupika........
*Unakuta mwanamke mchafu km ana mtoto mdogo unamkuta hajabadilishwa pampers toka alivyoveshwa asubuhi......
*Mwanamke hajui kumpetipeti mumewe majibu ya jeuri na karaha.........
*Unamkuta mwanamke muda wote yupo busy na mambo yake hakujali wewe wala watoto kama sio smartphone basi umbea na mashoga zake...........
*Unarudi nyumbani unakuta mashooga wamejazana kweji kichumba kimoja wanaangalia season, sasa kwanini tusishinde bar turudi tukute umelala tuingie ndani huku tumebana pua kwa harufu mbaya ya nguo chafu na vyombo