kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
Wakuu,
Manzese ni moja kati ya kata za kitambo sana, 1975 tayari ilikuwa ni kata kamili yenye miundombinu inayoekeweka, ndio eneo la kwanza Tanzania kuwa na Daraja la wavuka Kwa miguu ambalo liligeuka kuwa kivutio enzi zile, Kwa miaka mingi manzese imekuwa kitovu cha biashara, burudani Na soko kubwa la unga wa mahindi.
Ajabu ni kuwa hii kata bado ni fukara sana, makazi yake ni duni sana, ukizunguka kwenye mitaa yake kuna ufukara wa kutupwa, mitumba kama sidilia ndiyo inauzika mno eneo hili. Shida iko wapi?
Manzese ni moja kati ya kata za kitambo sana, 1975 tayari ilikuwa ni kata kamili yenye miundombinu inayoekeweka, ndio eneo la kwanza Tanzania kuwa na Daraja la wavuka Kwa miguu ambalo liligeuka kuwa kivutio enzi zile, Kwa miaka mingi manzese imekuwa kitovu cha biashara, burudani Na soko kubwa la unga wa mahindi.
Ajabu ni kuwa hii kata bado ni fukara sana, makazi yake ni duni sana, ukizunguka kwenye mitaa yake kuna ufukara wa kutupwa, mitumba kama sidilia ndiyo inauzika mno eneo hili. Shida iko wapi?