figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Bweni la wasichana wa kidato cha V na VI wa Shule ya Sekondari ya Mwanzi Manyoni limeungua moto uliozuka kuanzia saa 2.20 usiku.
Bweni lilikuwa linatumiwa na wanafunzi 40 ambapo vitu vichache sana vimeweza kuokolewa. Bweni lilikuwa la vyumba 3 ambalo vyumba 2 kuta zake zimebomoka kabisa.
Inahisiwa kuwa hitilafu ya umeme ndio chanzo.
Bweni lilikuwa linatumiwa na wanafunzi 40 ambapo vitu vichache sana vimeweza kuokolewa. Bweni lilikuwa la vyumba 3 ambalo vyumba 2 kuta zake zimebomoka kabisa.
Inahisiwa kuwa hitilafu ya umeme ndio chanzo.