Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,614
Aprili 25, 2023, Mahakama ya Wilaya ya MBULU imemtia hatiani Mshtakiwa Bw. SAMWEL QAMBINA DUKHO, katika Shauri la Uhujumu Uchumi Na.06/2022.
Shauri hili lilikuwa mbele ya Mh. Victus KAPUGI na liliendeshwa na Mwendesha Mashtaka MARTINI MAKANI
Katika shauri hilo mshtakiwa alikua anashtakiwa kwa makosa matatu.
I) Ubadhirifu, ambapo kahukumiwa miaka 20 jela.
II) Matumizi mabaya ya madaraka, ambapo kahukumiwa miaka 20 jela.
III) Wizi katika utumishi wa Umma, ambapo kahukumiwa mwaka mmoja jela.
Mshtakiwa ataitekeleza adhabu hiyo kwa pamoja (concurrently) na Mahakama imemtaka Mshtakiwa kurejesha fedha shs. 3,687,000/= ambazo alizifanyia ubadhirifu au mali yake iuzwe ili kufidia deni hilo.
Chanzo: TAKUKURU
Shauri hili lilikuwa mbele ya Mh. Victus KAPUGI na liliendeshwa na Mwendesha Mashtaka MARTINI MAKANI
Katika shauri hilo mshtakiwa alikua anashtakiwa kwa makosa matatu.
I) Ubadhirifu, ambapo kahukumiwa miaka 20 jela.
II) Matumizi mabaya ya madaraka, ambapo kahukumiwa miaka 20 jela.
III) Wizi katika utumishi wa Umma, ambapo kahukumiwa mwaka mmoja jela.
Mshtakiwa ataitekeleza adhabu hiyo kwa pamoja (concurrently) na Mahakama imemtaka Mshtakiwa kurejesha fedha shs. 3,687,000/= ambazo alizifanyia ubadhirifu au mali yake iuzwe ili kufidia deni hilo.
Chanzo: TAKUKURU