Manyara: Mama amchoma Mtoto na kitu chenye ncha kali kwa kumwomba mpita njia hela

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,501
9,280
Jeshi la Polisi mkoani Manyara linamshikilia mwanamke Janeth Doto Vicent mkazi wa mji wa Babati kwa tuhuma za kumchoma Mtoto wake wa kike sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia kitu chenye ncha kali.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Manyara Marrison Mwakyoma amesema ilikuwa septemba 12/ 2021 majira ya saa tatu asubuhi katika mtaa wa Mrara Juu mjini hapo, ambapo mtoto huyo wa miaka mitatu alichomwa sehemu mbalimbali za mwili wake na kitu chenye ncha kali baada ya kuchukizwa na kitendo cha mtoto wake kuomba fedha kwa mpita njia.

Mwakyoma amesema kuwa kitendo hicho kilimfanya mama huyo kumchoma usoni shingoni na kumsababishi majeraha ndipo wasamaria wema walivyoona kitendo hicho waliamua kutoa taarifa katika kituo cha polisi.

Kwa mujibu wa Kamanda Mwakyoma mtoto huyo amelazwa katika Hospitali ya Halmashauri ya mji wa Babati, Mrara.
 
Ona hapa.

Mama asingemchoma na kitu chenye ncha kali huyu binti kuna siku huyo jamaa angekutwa na huyo binti na angepelekwa mahakamani kwa kesi ya ubakaji.

Kisha uzi ungekuja hapa na watu wangelaumu wazazi kwa kushindwa kulea.

Kitendo cha mama kimezuia uzi ila kimemuingiza kwenye shida.
 
Huyo mama amezingua sana, najua imewezekana ni frustrations za maisha tu, lakini akiwa huko mahabusu atajuutia sana alichomfanyia mwanae.

Golden rule of parenting:
Usitoe adhabu kwa mtoto ukiwa na hasira, kaa tulia acha hasira ziishe kabisa. Kisha toa adhabu inayoendana na kosa. (Kumbuka hata karipio tu ni adhabu).

Nakumbuka mimi nikiwa mdogo mama yangu alikuwa na adhabu ya kukupiga risala ndefu na yenye uchungu, ananielezea kuwa siku akifa nitashindwa kuishi kwa watu nikiendelea na tabia zangu, yaani alikuwa akimaliza nashindwa hata kula, ni strait kulala kichwa kikiwa kimejaa mawazo.
 
Ona hapa.

Mama asingemchoma na kitu chenye ncha kali huyu binti kuna siku huyo jamaa angekutwa na huyo binti na angepelekwa mahakamani kwa kesi ya ubakaji.

Kisha uzi ungekuja hapa na watu wangelaumu wazazi kwa kushindwa kulea.

Kitendo cha mama kimezuia uzi ila kimemuingiza kwenye shida.
Mtoto wa miaka mi3 bado mdogo sana kutambua ubaya wa kosa alilofanya. Mama angetumia fimbo ya kawaida tu kumuadhibu na kumuonya, lkn sio kutumia kitu cha ncha kali kumchoma chuma sehem mbali mbali za mwili, huu ni unyama na ukatili usiovumilika.
 
Kuna jiran yangu aliniambia mume wake akimuuzi (ana msuspect sana issue za michepuko) hua anamalizia hasira kwa mtoto. Atampiga sana mtoto siku hio hata kwa kosa dogo .
Mtoto wa miaka miwili kasoro.Nikashangaa sana ila nilimkalisha chini na kumuelimisha anachofanya sio sahihi.
 
Ona hapa.

Mama asingemchoma na kitu chenye ncha kali huyu binti kuna siku huyo jamaa angekutwa na huyo binti na angepelekwa mahakamani kwa kesi ya ubakaji.

Kisha uzi ungekuja hapa na watu wangelaumu wazazi kwa kushindwa kulea.

Kitendo cha mama kimezuia uzi ila kimemuingiza kwenye shida.
Sahihi KABISA Ila angemuadhibu kwa staha bila kumuumiza mtoto

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ona hapa.

Mama asingemchoma na kitu chenye ncha kali huyu binti kuna siku huyo jamaa angekutwa na huyo binti na angepelekwa mahakamani kwa kesi ya ubakaji.

Kisha uzi ungekuja hapa na watu wangelaumu wazazi kwa kushindwa kulea.

Kitendo cha mama kimezuia uzi ila kimemuingiza kwenye shida.
Mx&&$ng@@@ kummmmmmm@@@@@q00000 mbwaaaaa wwwww
 
Huyo ni frustration za baba watoto tu! Mtoto wa miaka mitatu? Achapwe na yeye viboko hadi damu zimtoke!
 
Huyo mama amezingua sana, najua imewezekana ni frustrations za maisha tu, lakini akiwa huko mahabusu atajuutia sana alichomfanyia mwanae.

Golden rule of parenting:
Usitoe adhabu kwa mtoto ukiwa na hasira, kaa tulia acha hasira ziishe kabisa. Kisha toa adhabu inayoendana na kosa. (Kumbuka hata karipio tu ni adhabu).

Nakumbuka mimi nikiwa mdogo mama yangu alikuwa na adhabu ya kukupiga risala ndefu na yenye uchungu, ananielezea kuwa siku akifa nitashindwa kuishi kwa watu nikiendelea na tabia zangu, yaani alikuwa akimaliza nashindwa hata kula, ni strait kulala kichwa kikiwa kimejaa mawazo.
Kama mama yangu,anakusema hadi chakula hutamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona hapa.

Mama asingemchoma na kitu chenye ncha kali huyu binti kuna siku huyo jamaa angekutwa na huyo binti na angepelekwa mahakamani kwa kesi ya ubakaji.

Kisha uzi ungekuja hapa na watu wangelaumu wazazi kwa kushindwa kulea.

Kitendo cha mama kimezuia uzi ila kimemuingiza kwenye shida.
Kila kitu kwa kiasi,

Angemchapa fimbo matakoni sita
 
Ona hapa.

Mama asingemchoma na kitu chenye ncha kali huyu binti kuna siku huyo jamaa angekutwa na huyo binti na angepelekwa mahakamani kwa kesi ya ubakaji.

Kisha uzi ungekuja hapa na watu wangelaumu wazazi kwa kushindwa kulea.

Kitendo cha mama kimezuia uzi ila kimemuingiza kwenye shida.
Kwa hiyo fimbo hazitoshi mpaka umchome
 
Back
Top Bottom