Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wizi atamlipa vipi??? Ufisadi, dhuruma kuzika watu wazima wazima Nyamongo Musoma, rushwa, uongo, TANESCO na viambatanisho vyake, Loh atalipwa sana!!!!!!!!Aaami ya rabi. tatizo kuna vipofu wachache wasio ona hata jema moja la kikwete. ALLAH atamlipa kwa mema aliyotendea nchi hii.