Many jobs at university of bagamoyo

Aaami ya rabi. tatizo kuna vipofu wachache wasio ona hata jema moja la kikwete. ALLAH atamlipa kwa mema aliyotendea nchi hii.
Wizi atamlipa vipi??? Ufisadi, dhuruma kuzika watu wazima wazima Nyamongo Musoma, rushwa, uongo, TANESCO na viambatanisho vyake, Loh atalipwa sana!!!!!!!!
 
Mambo ya Kikwete hayo, Ji University lingine, jamani ni mangapi katika miaka yake 6? mangapi Nyerere katika miaka yake zaidi ya 20? mangapi ya Mwinyi? mangapi ya Nkapa?

Kikwete Allah atakulipa kwa kila jema ulifanyalo kwa wananchi wako. Hakuna bora zaidi ya elimu.
Fauzia Forks;
Utetezi wako juu ya utawala wa awamu hii mimi naweza kuukubali sana kwa kiwango kikubwa; ila sasa naona kama unaki-element tena cha kutetetea kiasi cha kufikia level ya kujikomba! Acha hizo. Zaidi, could you please keep away from Mwalimu sababu we can't even question him a thing now!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom