Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,890
- 31,675
Wananzengo embu tujuzane hapa kidogo, hivi mantiki ya kutoa rambi rambi ni ipi?
Ninadhani rambi rambi ingekuwa inahitajika kufanikisha shughuli nzima ya mazishi kuanzia ununuzi wa sanda, pesa ya kuwalipa wachimba kaburi, vyakula kwa watu watakao fika msibani nk.
Sasa inakuaje msiba umeshaisha lakini kuna watu bado wanaulizia rambi rambi ,hii imekaaje?Ukiuliza unaambiwa ni pesa ya kumfariji mfiwa , sasa suala la kujiuliza hapa ,je thamani ya marehemu inalinganishwa na hizo pesa za rambi rambi?
Wengine kipindi mtu anaumwa kumchangia pesa ya matibabu wanaona shida ila akishakufa ndugu macho yanawatoka kulazimisha rambi rambi.
Ninadhani rambi rambi ingekuwa inahitajika kufanikisha shughuli nzima ya mazishi kuanzia ununuzi wa sanda, pesa ya kuwalipa wachimba kaburi, vyakula kwa watu watakao fika msibani nk.
Sasa inakuaje msiba umeshaisha lakini kuna watu bado wanaulizia rambi rambi ,hii imekaaje?Ukiuliza unaambiwa ni pesa ya kumfariji mfiwa , sasa suala la kujiuliza hapa ,je thamani ya marehemu inalinganishwa na hizo pesa za rambi rambi?
Wengine kipindi mtu anaumwa kumchangia pesa ya matibabu wanaona shida ila akishakufa ndugu macho yanawatoka kulazimisha rambi rambi.
