ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
Ameendesha misa ya shukrani kwa Mungu baada ya CRDB kupata faida kubwa. Amealika wafanyakazi wa benki ya crdb toka nchi nzima kuja dar es salaaam kuhudhuria sherehe na misa ya leo, nauli na gharama za kukaa dar ni juu ya benki. Zaidi ya yote, kuanzia mwezi januari mwakani kila mfanyakazi atakuwa akipata 'bonus' ya sh 120,000/= kila mwezi.
Haka kanchi ni katamu sana ukikapatia!
Haka kanchi ni katamu sana ukikapatia!