Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,389
Ndyoko, habari hii umeitoa wapi? Kwa namna ilivyokuwa, je ni sherehe ya kidini(shukrani) au ni sherehe ya kupongezana zaidi na hilo la misa (naamini ameomba kimei kama individual na sio crdb- i stand to be corrected!) labda ni by the way tu kwa sababu wahudhuriaji kwenye sherehe hiyo ya 'kupongezana' walikuwa dar?
Sioni katika hali ya kawaida ni vipi plc kama crdb inaweza kutumia fedha zake kwa ajili ya 'misa ya shukrani'. Hata auditors kwa auditors tu hili haliwrzi kupita kama lilivyo! Utafanya jambo jema kama utaweka/utatafuta maelezo zaidi katika habari hii.
SMU,
Hata mimi nafikiri kama wewe. Haiingii akilini CEO wa PLC atumie fedha za benki kwa shughuli ya kikanisa.
Hapa kuna possibilities mbili.
1. Kuna smear campaign na habari hizi hazina ukweli.
2. Bongo imeoza kiasi kwamba mambo ya kweli yakianikwa yanaonekana kama smear campaign.
I hope it is the first one, because if it is the second one, tupo pabaya kuliko nilivyofikiri.