Manji atinga Uswis, makao makuu ya FIFA

Manji atinga Uswis, makao makuu ya FIFA

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,667
Reaction score
29,958
hatimaye mwenyekiti wa yanga afanikiwa kuingia ofisi za FIFA kukata rufaa kuhusiana na suala la emmanuel okwi. manji alionekana akiwa amechoka mwenye mawazo na hasira alionekana akiwa anataka kuvuka barabara kuelekea zilipo ofisi za FIFA. kama anavyoonekana pichani.

10675678_771966402844883_657021027549708161_n.jpg
 
Kavurugwa huyo.
Ushaur wa bure Yanga haibebeki hiyo,anapoteza mihela yake ya sembe tu
 
hatimaye mwenyekiti wa yanga afanikiwa kuingia ofisi za FIFA kukata rufaa kuhusiana na suala la emmanuel okwi. manji alionekana akiwa amechoka mwenye mawazo na hasira alionekana akiwa anataka kuvuka barabara kuelekea zilipo ofisi za FIFA. kama anavyoonekana pichani.

View attachment 184170

hiyo picha alipokuwa uingereza sio uswizi
 
Manji dawa ni Mr Mengi hapo afurukuti.
 
Kavurugwa Manji,na bado october kichapo pale pale kutoka kwa Okwi huyo huyo anayemvuruga.
 
Hahahaaa...!! Naona mikataba ya okwu kaiviringisha kwenye rambo, so funny!!
 
Hahahaaa...!! Naona mikataba ya okwi kaiviringisha kwenye rambo, so funny!!
 
kwa msisitizo kapiga full yanga juu hadi kisigino, pia anaakili ndefu maana hilo jacket na uswisi ni kitu na box. chezea yanga na manji wee!:A S wink:
 
Back
Top Bottom