Manji aliondoka na Yanga haikufa, kwanini Moo asiondoke atuachie Simba yetu?

Lipeni pesa zake alizotoa
Moo hajatoa pesa yoyote Bure Kwa Simba. Pesa za moo Huwa Either ameikopesha Simba au amelipia matangazo ya kampuni zake kupitia Brand ya Simba.,
MeLT group imejitangaza sana kupitia klabu ya Simba tena kwa mikataba ya hovyo kabisa inayoinyonya klabu for example MoXtra ukiambiwa mkataba wake na Simba ni karibu na Bure
 
Wakuu sitaki hata salamu, Kwa Hali ya mambo ilipofikia ni wazi kuwa ili Simba isonge mbele ni lazima maamuzi magumu yafanyike.
Uamuzi wa kwanza ni mwekezaji wetu Mohamed Dewji anapaswa kukaa pembeni na aendelee tu kuwa mshabiki/mdhamini

Tunao mfano hai Kwa hawa ndugu zetu utopolo, Manji aliondoka na timu ikapitia msukosuko kidogo tu ila wamejitokeza wawekezaji ambao wanamwaga pesa zaidi ya Manji na Yanga imepiga hatua kubwa kuliko wakati wa Manji.

Sisi Simba tunaogooa nini?
Simba ni brand kubwa barani Afrika.
Hivi tutaendelea kumlamba miguu huyu kanjibai paka lini?
Yaani Kumbe hata ahadi anazotoa Kwa wachezaji wajitume maradufu kwenye zile mechi ngumu Kumbe hatimizi

Wakati ni Sasa tupige kelele za nguvu Moo atuachie timu yetu..
View attachment 2615753
Timu yako na nani? Unamiliki nini kwenye timu au umechangia nini kwenye timu. Mwenzako ana mkataba kaininua wewe una nini?
 
Timu yako na nani? Unamiliki nini kwenye timu au umechangia nini kwenye timu. Mwenzako ana mkataba kaininua wewe una nini?
Timu Ni ya wanainchi,,kwani Hao wanaomiliki Simba wao mamlaka ya umiliki wamepewa na nani,,

Timu zote duniani mwenye timu Ni shabiki..

More mzinguwaji tu...

Hana mpango wowote.

Hivi timu imepata pesa kibao robo fainali 5 unashindwa kujenga uwanja?
Pesa anapeleka wp?
 
Bora maandishi yangekuwa na uwiano sawa lakini yaliyopo ni makubwa jinga sijui designer wake ni fundi Michael!!?
Kabisa halafu ameweka maandishi Kati Kati ya matako,,

Muhuni Sana yule.

MORE DEWJ.
sijawahi kuona mfadhili anaandika Jina lake kwenye jezi..

Jezi matangazo kibao ambayo akiambiwa analipa nn maelezo Hakuna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom