mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 682
- 1,461
Wakuu sitaki hata salamu, Kwa Hali ya mambo ilipofikia ni wazi kuwa ili Simba isonge mbele ni lazima maamuzi magumu yafanyike.
Uamuzi wa kwanza ni mwekezaji wetu Mohamed Dewji anapaswa kukaa pembeni na aendelee tu kuwa mshabiki/mdhamini
Tunao mfano hai Kwa hawa ndugu zetu utopolo, Manji aliondoka na timu ikapitia msukosuko kidogo tu ila wamejitokeza wawekezaji ambao wanamwaga pesa zaidi ya Manji na Yanga imepiga hatua kubwa kuliko wakati wa Manji.
Sisi Simba tunaogooa nini?
Simba ni brand kubwa barani Afrika.
Hivi tutaendelea kumlamba miguu huyu kanjibai paka lini?
Yaani Kumbe hata ahadi anazotoa Kwa wachezaji wajitume maradufu kwenye zile mechi ngumu Kumbe hatimizi
Wakati ni Sasa tupige kelele za nguvu Moo atuachie timu yetu..
Uamuzi wa kwanza ni mwekezaji wetu Mohamed Dewji anapaswa kukaa pembeni na aendelee tu kuwa mshabiki/mdhamini
Tunao mfano hai Kwa hawa ndugu zetu utopolo, Manji aliondoka na timu ikapitia msukosuko kidogo tu ila wamejitokeza wawekezaji ambao wanamwaga pesa zaidi ya Manji na Yanga imepiga hatua kubwa kuliko wakati wa Manji.
Sisi Simba tunaogooa nini?
Simba ni brand kubwa barani Afrika.
Hivi tutaendelea kumlamba miguu huyu kanjibai paka lini?
Yaani Kumbe hata ahadi anazotoa Kwa wachezaji wajitume maradufu kwenye zile mechi ngumu Kumbe hatimizi
Wakati ni Sasa tupige kelele za nguvu Moo atuachie timu yetu..