Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
watu wanauziana nchi wenyewe kwa wenyewe.zabuni zote wanapewa matapeli ambao ndio wadhamini wa chama chao kazi hipo.
kwahio jinsi hela inavyozunguka nina haki kusema kwamba serikali ya ccm inatumia hela ya walipa kodi kudhamini chama chao.
hii sio maisha bora kwa kila mtanzania tena imekuwa "maisha bora kwa kila rafiki wa ccm".
kwahio jinsi hela inavyozunguka nina haki kusema kwamba serikali ya ccm inatumia hela ya walipa kodi kudhamini chama chao.
hii sio maisha bora kwa kila mtanzania tena imekuwa "maisha bora kwa kila rafiki wa ccm".