Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

Ndiyo wakome...wamezidi kuharibu mandhali ya miji. Yaani mtu asibakize matofali na vipande vya bati na mbao unakuta huyo anaongeza eneo la mpaka na kuyatafutia kazi hayo mabaki ya vifaa vya ujenzi.
Sijui mandhali ikiwa nzuri wanapungukiwa nini!!
Tena wasiishie hapo, hadi frame za biashara zipigwe marufuku na badala yake yatengwe maeneo maalum ya biashara badala ya kugeyza maeneo ya makazi kuwa ya kibiashara.
 
Dah! Nammpigia simu Dokta Manyaunyau ili alikaushe mafuta hilo katapila kabla halijakaribia mjengo wango ajabu simu yake yenyewe siipati. Shidah hii leo

Hata hivyo, naunga mkono serikali yangu mkimaliza huko mje hapa magomeni kwenye kanisa karibu na travetine. Tulikuwa tukicheza sana chandimu hapa lakini siku hizi ni kelele tu za wavamizi.

kabla hawajafika huko wapitie na pale Sinza Mori nyuma ya BigBon kulikuwa na viwanja vya michezo..leo pamejengwa hadi hakuna tena barabara!
#BomoaTu!
 
Watumishi wa Ardhi/ manispaa walioachia ujenzi huo holela uendelee bila zuio lolote nao wachukuliwe hatua wao ndio kiini cha utapeli na usanii wa aina hii.

Wakizuwiwa wanauliza ''Wewe unanijua mimi nani?''. Kwa kweli Dar kuna watu wana kiburi sana. Hakuna mtu anafurahia watu kuvunjiwa, lakini kuna watu wanavunja sherika kwa makusudi. Sinza leo hii mpaka magari yanashindwa kupishana mitaani kwa ufinyu wa barabara, watu wamejenga vibanda vya biashara nje ya mipaka ya viwanja vyao, na kufanya barabara kuwa finyu sana.
 
Ndiyo wakome...wamezidi kuharibu mandhali ya miji. Yaani mtu asibakize matofali na vipande vya bati na mbao unakuta huyo anaongeza eneo la mpaka na kuyatafutia kazi hayo mabaki ya vifaa vya ujenzi.
Sijui mandhali ikiwa nzuri wanapungukiwa nini!!
Tena wasiishie hapo, hadi frame za biashara zipigwe marufuku na badala yake yatengwe maeneo maalum ya biashara badala ya kugeyza maeneo ya makazi kuwa ya kibiashara.

Wakazi wa Dar wana ALLERGY na maeneo ya wazi. Yaani ni kujenga tu, kujenga tu, mitaa haina mvuto hata kidogo. Njia za maji ya mvua zinazibwa, mafuriko yasiyo ya lazima kila siku yanatokea.
 
Hebu tazameni na upande wapili .Serikali haiwezekani kuwabomolea bila sababu,huenda wameshalipwa ,huenda walijenga maeneo yasiyoruhusiwa kisheria
Ni vena ukajiuliza kwanza, hao watu wapo tangu miaka ya 1990 wamejenga eneo hilo je mamlaka zilikuwa wapi kuwazuia na uendelezaji wa maeneo hayo? Ninachojua kuna idara za Mipango miji, Ardhi na Ujenzi ambazo ufuatilia pale tu panapochomoza jengo lolote na kuangalia kama taratibu zimefuatwa sasa idara hizi zilikuwa wapi hadi wakati huu?
 
Ndiyo wakome...wamezidi kuharibu mandhali ya miji. Yaani mtu asibakize matofali na vipande vya bati na mbao unakuta huyo anaongeza eneo la mpaka na kuyatafutia kazi hayo mabaki ya vifaa vya ujenzi.
Sijui mandhali ikiwa nzuri wanapungukiwa nini!!
Tena wasiishie hapo, hadi frame za biashara zipigwe marufuku na badala yake yatengwe maeneo maalum ya biashara badala ya kugeyza maeneo ya makazi kuwa ya kibiashara.

Umenena vyema mkuu
 
Wavamizi walishaonywa wakitakiwa waondoke, wakadhani utani. Hii ni serikali ya kufuata sheria na kanuni tu, basi. Lazima tunyooke, si kila mtu kujifanyia analotaka.
Lile jengo la Mch.Lwakatale limeisha bomolewa? Kwa hiyo sheria inafanya kazi kwa walala hoi lakini kwa watu wenye vyeo na fedha zinapinda?
 
Na 2020 ndiyo hata balozi wa shina hawamtapata kabisa
  1. Nani angekubali abomoe kabla ya uchaguzi kwami hataki kibarua
  2. nahisi ni maagizo toka ngazi za juu
  3. walikwina?
  4. Nahisi kwa vile wakazi wengi wa Dar wameikataa CCM
 
Tusitumie utalaamu wetu kuficha ukweli na kupotosha jamii. Aliyewahamishia watu katika kile kinachoitwa hifadhi za barabara ni hayati Mwalimu Nyerere, tena kwa kuagiza mashamba, makazi n.k uvichomwe moto kupitia sera zake za vijiji vya ujamaa. Akawajengea huduma mbali mbali za kijamii kama vile shule, zahanati katika hivcho leo kinachoitwa hifadhi za barabara.

Serikali yake ikawapimia ardhi husika na Kamishna wa Ardhi kuwapatia hati miliki. Sasa makosa ya hao wananchi yako wapi?

Wewe ndiye mpotoshaji mkuu. Unajua kuwa enzi za Nyerere ilikuwa nadra sana kuvamia maeneo ya wazi? mji wa Dar ulikuwa na sehemu nyingi sana za wazi siyo uchafu uliopo sasa
 
Kila jambo msiwe mnalichukulia kisisasa au kila tukio lazima muingize siasa, Mngeuliza kwanza kama hao wamiliki wanaobomolewa hawajawahi kupewa taarifa hata siku moja??, serikali sio wajinga waje wabomoe tu kama wanaondoa banda la mama ntilie, ni lazima kuna wataalam walishapita hayo maeneo walishacheki na ndo ikaja amri ya kubomolewa na barua usikute walishapewa walistahili kulipwa usikutwe pia wameshalipwa, waliovamia ni pole yao mana usikute eneo alilipata kwa rushwa kupitia ardhi au viongozi sasa hayo ni malipo yao hakuna wa kuwaonea huruma wacheni serikali ifanye kazi. watanzania tuna tabia ya ubishi na kudharau na hicho ndo kinawacost, na wengi ni wajanja wajanga wakishalipwa na serikali wanapangisha au wanaziuza kinyemela kwa watu wasiojilewa kwahiyo maafa mengi ya bomoa bomoa unakuta yanawakuta wapangaji au mnunuzi mpya asiejielewa.
 
Ww hujielewi ungekuwa ww au wazazi wako ndio wanabomolewa ungesema hivyo??? Umekera sana! Acha uchama toa changizo

Manema;
Poleeee. Nipe namba nitatoa changizo. Ulitaka niseme nini zaidi. Uliambiwa mapema kuwa tingatinga hiloo lichagueni. Likachaguliwa, ulidhani kazi yake ni kujenga au kubomoa?? Sasa isome namba
 
Una haraka ya nn bomoa bomoa imeisha??

ndio kwanza wameanza mwenge then bunju bihafla kinondoni then tegeta na kawe .sasa kama hilo jengo LA huyo mama lipo ndani ya hayo maeneo basi soon watalibomoa tuu
 
Unafurah Watu Kuharibiwa Vitu Ndan ,unaleta Uchama Bdala Ya Uzalendo Kwa Kuwa Mama Ako Ama Ndugu Yako Hayup Katka Hlo Janga, Huwazii Weny Mimba,wazee,watoto Kweli Mungu Akusameh T Kwa Utumb Ulio Comment

Mkuu polee;
Kwani ulifichwa kuwa ajaye ni mtu wa namna gani? Si uliambiwa kweupe bila kificho kuwa Tingatinga hiloo laja?? Ulidhani tinga tinga kazi yake ni nini?? Basi isome namba tu usijali comment yangu. Tunataka mazingira saafiii, maji yakija yaende bahariniiiii ika kule kwa wakubwa, hakutaguswa kwani UCHUMI waweza tetereka. Huyo ni chaguo lakoooo
 
Back
Top Bottom