y-n
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,391
- 2,514
Sumatra imeifungia leseni ya usafirishaji kampuni ya mabasi ya Manin'g nice inayofanya kazi za usafirishaji kwa mikoa ya Mtwara na Lindi kuelekea Dsm.
Inasemekana chanzo ni ajali ya moja kati ya mabasi yao lililopata ajali Tarehe 19 mwezi huu mkoani Lindi.
Mwenye maelezo au ufafanuzi zaidi juu ya hili unaweza ukalifafanua zaidi.
Mnakaribishwa.
Inasemekana chanzo ni ajali ya moja kati ya mabasi yao lililopata ajali Tarehe 19 mwezi huu mkoani Lindi.
Mwenye maelezo au ufafanuzi zaidi juu ya hili unaweza ukalifafanua zaidi.
Mnakaribishwa.