acha wafungiwe wanakimbia ovyo sana
Wewe ni jinsia gani?
Naona wanamwekea mazingira ya biashara mbunge wa Mtwara mjini kwani ndio mmiliki wa mabasi ya Machinga na mshindani wake ni Manning Nice na Hamanju.
Machinga ndio basi lenye watumishi wasio na elimu na wapuuzi kuliko wapiga debe wa kwa Azizi Ally. Na jeuri hii ni sbb mabasi yao hayakamatwi
Yaani we acha tu. HOOD BUS tangu mwaka hhuu uanze limechinja mara ngapi ? Inaoneka wenye Hood wanajua kula na Kipofu sutra. Maning Ice mnakula peke yenu basi na msiba huu wa kufungiwa ni wenu peke yenu.
Sumatra imeifungia leseni ya usafirishaji kampuni ya mabasi ya Manin'g nice inayofanya kazi za usafirishaji kwa mikoa ya Mtwara na Lindi kuelekea Dsm.
Inasemekana chanzo ni ajali ya moja kati ya mabasi yao lililopata ajali Tarehe 19 mwezi huu mkoani Lindi.
Mwenye maelezo au ufafanuzi zaidi juu ya hili unaweza ukalifafanua zaidi.
Mnakaribishwa.
Ajali yao ilihusisha na bodaboda ambayo nadhani mwendesha bodaboda na abiria wake walipoteza maisha.
Sijajua hasa nani au nini ni chanzo cha ajali yenyewe.
Kama fitina ndio hiyo na wananchi wamegundua ni vema, wanayapiga chini na kupanda mengine mbona yapo mengi tu? Kama lilivyopigwa chini gazeti la uhuru na mzalendo na jambo leo.chezea nguvu ya uma weye!!!!
Lakini mkuu hadi tarehe 22.3.2014 zilikuwa zina operate kati ya dar na mtwara