kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Ndg wanajamvi katika harakati za kuhakikisha kuwa ccm inatoa kiongozi bora kwenye safu ya Uraisi mwaka 2005 ,Ndg Mangula akiwa Katibu mkuu wa ccm kupitia kamati ya maadili na usalama iliandaa dossier ya Kikwete na kubainisha kuwa hakuwa na sifa ya kuwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Taarifa binafsi za kiuchunguzi na kitelijensia kutoka ccm makao makuu zilionyesha kuwa Kikwete hakuwa na sifa za kimaadili za kupendekezwa kuwa Rais na kwamba Katibu mkuu alitaka ccm ipendekeze jina la mwanachama mwingine.Ingawa Kikwete alijua dossier yake hiyo ya kumdisqualify alitumia WANAMTANDAO (ROSTAM NA LOWASA) kumtisha mwenyekiti wa ccm(Mkapa) na Mangula Mwenyewe na hatimaye Mwenyekiti wa ccm ,mzee Mkapa aliondoa dossier ya Kikwete kwenye kikao cha CC-Kamati kuu na kufunika mwanaharamukupita.Katika uchunguzi wa kina umebainisha kuwa mara tu baada Kikwete kuingia Ikulu na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa ccm ilikuwa kumuondoa Mangula na Sekretariat yake yote na wasaidizi wao akiwemo Mapuri, Paul Sozigwa mzee wa Kisarawe na Mangula Mwenyewe kulipiza kisasi maana walitaka kumwaga ugali wa Kikwete.Na mangual vyeo vyote alivyogombea ndani ya ccm alisambaratishwa kwa msaada wa wana mtandao/
Maswali machache ya kumuuliza Mangula ni je
1.Yeye kukubali kuwa MAKAMU ccm bara kumsaidia Kikwete ambaye awali aliona hana maadili alitumiwa?.
2.Ni njaa imemzidi na kukubali kutmikia tumbo kuliko nafsi ya ukweli wake?.
3.Je yupo tayari kuwaeleza wan ccm na watanzania dossier ya Kikwete inaeleza nini hata kabla ya hajafa ?
4.Je anajutia chochote kuwa kiongozi tena ndaniya ccm?
Taarifa binafsi za kiuchunguzi na kitelijensia kutoka ccm makao makuu zilionyesha kuwa Kikwete hakuwa na sifa za kimaadili za kupendekezwa kuwa Rais na kwamba Katibu mkuu alitaka ccm ipendekeze jina la mwanachama mwingine.Ingawa Kikwete alijua dossier yake hiyo ya kumdisqualify alitumia WANAMTANDAO (ROSTAM NA LOWASA) kumtisha mwenyekiti wa ccm(Mkapa) na Mangula Mwenyewe na hatimaye Mwenyekiti wa ccm ,mzee Mkapa aliondoa dossier ya Kikwete kwenye kikao cha CC-Kamati kuu na kufunika mwanaharamukupita.Katika uchunguzi wa kina umebainisha kuwa mara tu baada Kikwete kuingia Ikulu na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa ccm ilikuwa kumuondoa Mangula na Sekretariat yake yote na wasaidizi wao akiwemo Mapuri, Paul Sozigwa mzee wa Kisarawe na Mangula Mwenyewe kulipiza kisasi maana walitaka kumwaga ugali wa Kikwete.Na mangual vyeo vyote alivyogombea ndani ya ccm alisambaratishwa kwa msaada wa wana mtandao/
Maswali machache ya kumuuliza Mangula ni je
1.Yeye kukubali kuwa MAKAMU ccm bara kumsaidia Kikwete ambaye awali aliona hana maadili alitumiwa?.
2.Ni njaa imemzidi na kukubali kutmikia tumbo kuliko nafsi ya ukweli wake?.
3.Je yupo tayari kuwaeleza wan ccm na watanzania dossier ya Kikwete inaeleza nini hata kabla ya hajafa ?
4.Je anajutia chochote kuwa kiongozi tena ndaniya ccm?