hoja ya kumtukana warioba kwakweli sisiem ilishinda!watu tuna mitazamo tofauti sana, UKAWA ndiyo wa kuwaomba watanzania msamaha , kwa nini walitoka bungeni baada ya kuona wamezidiwa hoja na kusahau kuwa wametumwa na wananchi na siyo maslahi yao binafsi?
ukawa ni vitu gani vile?
ukawa ni vitu gani vile?
Ni mananasi ya Njombeukawa ni vitu gani vile?
Hoja ipi hiyo waliyozidiwa na ccm? Hiyo yakupiga chini maoni ya wananchi? Kimsingi sishangai kwa mtazamo wako maana watanzania tuna tabia yakumsifia hata jambazi, ni gonjwa la taifa hilo kuna wachache wamepona lakini wengi bado na wewe ni mmoja wao.watu tuna mitazamo tofauti sana, UKAWA ndiyo wa kuwaomba watanzania msamaha , kwa nini walitoka bungeni baada ya kuona wamezidiwa hoja na kusahau kuwa wametumwa na wananchi na siyo maslahi yao binafsi?
ukawa ni vitu gani vile?
Na wasirudi tu kwani hata wakirudi wanaendekeza matusi tu. wanawafunzisha tabia mbaya vijana wetu
hata wakienda mpaka 2025, hawana jipya hao.
Hakuna dhambi mbaya kama unafiki, ni ukweli ulio wazi kwamba ccm ni mabingwa wa matusi bungeni, hata mmoja wao aliwahi kutukuna tusi zito na spika akajifanya hasikii, kinacho wasumbua wote wenye mahaba na mapenzi ya dhati kwa ccm na serikali yake ni upofu, waswahili walisema kwenye mapenzi hata chongo huitwa kengeza, huoni kasoro. Hayo mnayoyaita matusi ni pale mnapo ambiwa vitu kwa lugha kali na pasipo kupepesa macho (laivu kavu) na kwakuwa mmezoea lugha ya kubembelezana basi mnachanganyikiwa.Na wasirudi tu kwani hata wakirudi wanaendekeza matusi tu. wanawafunzisha tabia mbaya vijana wetu
ukawa ni vitu gani vile?
Kwa kutumia makalio ya CCM itapatikana!!Ukawa warudi wasipo rudi katiba mpya lazima upatikane tuu