Mange Kimambi na Maria Sarungi wapelekwe ICC

Mange Kimambi na Maria Sarungi wapelekwe ICC

ndoto2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
1,463
Reaction score
1,284
Mange Kimambi umeua watanzania wewe ukiwa unakula burger Las vegas shame on you. Na ulaaaniwe na kizazi chako

Maria Sarungi ulaaniwe na liberatus wako mmefanikiwa kupoteza damu ya watanzania na mlaaniwe na vizazi vyenu

Tmejifunza na tujipanga kama nchi , wenye mamlaka rekebisheni mapungufu yaliyopo ili yasitutokee kama yaliyotekea tena baadae chonde chonde yasitokee tena

Kuanzia sasa tuanze kulinda mipaka yetu ya kimtandao na TCRA kanunueni mtambo unaitwa TDRE U221 wRidhiwana russia unachuja maaudhui fungieni vitu vyote kutoka kwa hawa majirani zetu

Mwisho ajira ajira ajira ajira vijana wengi waliojitkeza ni wasio na kazi tujirekebishe kama nchi kutenegeneza ajira nyingi sana kwa haraka na kama mkakati wa dharura kuliko vyote tena iwe dharura kweli kweli

Mwisho kweye baraz lako la mawaziri usiwaweke watu wenye tuhuma utarudisha chuki kwa wananchi mfano, Mwigulu, Nape, Ridhiwan Makonda , Mnyeti,

Narudi kesho na makala maalum kwa vyombo vya ulinzi eneo nililo n uzoefu nalo
 
Mange Kimambi umeua watanzania wewe ukiwa unakula burger Las vegas shame on you. Na ulaaaniwe na kizazi chako

Maria Sarungi ulaaniwe na liberatus wako mmefanikiwa kupoteza damu ya watanzania na mlaaniwe na vizazi vyenu

Tmejifunza na tujipanga kama nchi , wenye mamlaka rekebisheni mapungufu yaliyopo ili yasitutokee kama yaliyotekea tena baadae chonde chonde yasitokee tena

Kuanzia sasa tuanze kulinda mipaka yetu ya kimtandao na TCRA kanunueni mtambo unaitwa TDRE U221 wRidhiwana russia unachuja maaudhui fungieni vitu vyote kutoka kwa hawa majirani zetu

Mwisho ajira ajira ajira ajira vijana wengi waliojitkeza ni wasio na kazi tujirekebishe kama nchi kutenegeneza ajira nyingi sana kwa haraka na kama mkakati wa dharura kuliko vyote tena iwe dharura kweli kweli

Mwisho kweye baraz lako la mawaziri usiwaweke watu wenye tuhuma utarudisha chuki kwa wananchi mfano, Mwigulu, Nape, Ridhiwan Makonda , Mnyeti,

Narudi kesho na makala maalum kwa vyombo vya ulinzi eneo nililo n uzoefu nalo
Hatuwezi kua mang'ombe , hata bila ya mange kimambi, mwisho wakuvumilia ujinga ungefika tu. watu wanaiba mali za umma , ulitaka wakaliwe kimya?watu wanateka na kuua na hakuna kitu wanafanywa bado ulitaka watu wakae kimya.?sidhani kama una akili sawasawa
 
Mange Kimambi umeua watanzania wewe ukiwa unakula burger Las vegas shame on you. Na ulaaaniwe na kizazi chako

Maria Sarungi ulaaniwe na liberatus wako mmefanikiwa kupoteza damu ya watanzania na mlaaniwe na vizazi vyenu

Tmejifunza na tujipanga kama nchi , wenye mamlaka rekebisheni mapungufu yaliyopo ili yasitutokee kama yaliyotekea tena baadae chonde chonde yasitokee tena

Kuanzia sasa tuanze kulinda mipaka yetu ya kimtandao na TCRA kanunueni mtambo unaitwa TDRE U221 wRidhiwana russia unachuja maaudhui fungieni vitu vyote kutoka kwa hawa majirani zetu

Mwisho ajira ajira ajira ajira vijana wengi waliojitkeza ni wasio na kazi tujirekebishe kama nchi kutenegeneza ajira nyingi sana kwa haraka na kama mkakati wa dharura kuliko vyote tena iwe dharura kweli kweli

Mwisho kweye baraz lako la mawaziri usiwaweke watu wenye tuhuma utarudisha chuki kwa wananchi mfano, Mwigulu, Nape, Ridhiwan Makonda , Mnyeti,

Narudi kesho na makala maalum kwa vyombo vya ulinzi eneo nililo n uzoefu nalo
Wewe ni takataka
 
Mange Kimambi umeua watanzania wewe ukiwa unakula burger Las vegas shame on you. Na ulaaaniwe na kizazi chako

Maria Sarungi ulaaniwe na liberatus wako mmefanikiwa kupoteza damu ya watanzania na mlaaniwe na vizazi vyenu

Tmejifunza na tujipanga kama nchi , wenye mamlaka rekebisheni mapungufu yaliyopo ili yasitutokee kama yaliyotekea tena baadae chonde chonde yasitokee tena

Kuanzia sasa tuanze kulinda mipaka yetu ya kimtandao na TCRA kanunueni mtambo unaitwa TDRE U221 wRidhiwana russia unachuja maaudhui fungieni vitu vyote kutoka kwa hawa majirani zetu

Mwisho ajira ajira ajira ajira vijana wengi waliojitkeza ni wasio na kazi tujirekebishe kama nchi kutenegeneza ajira nyingi sana kwa haraka na kama mkakati wa dharura kuliko vyote tena iwe dharura kweli kweli

Mwisho kweye baraz lako la mawaziri usiwaweke watu wenye tuhuma utarudisha chuki kwa wananchi mfano, Mwigulu, Nape, Ridhiwan Makonda , Mnyeti,

Narudi kesho na makala maalum kwa vyombo vya ulinzi eneo nililo n uzoefu nalo
Ungejua hati ya ICC kuhusu huyo mpuuzi wenu samia ndo inaandaliwa.
 
Mange Kimambi umeua watanzania wewe ukiwa unakula burger Las vegas shame on you. Na ulaaaniwe na kizazi chako

Maria Sarungi ulaaniwe na liberatus wako mmefanikiwa kupoteza damu ya watanzania na mlaaniwe na vizazi vyenu

Tmejifunza na tujipanga kama nchi , wenye mamlaka rekebisheni mapungufu yaliyopo ili yasitutokee kama yaliyotekea tena baadae chonde chonde yasitokee tena

Kuanzia sasa tuanze kulinda mipaka yetu ya kimtandao na TCRA kanunueni mtambo unaitwa TDRE U221 wRidhiwana russia unachuja maaudhui fungieni vitu vyote kutoka kwa hawa majirani zetu

Mwisho ajira ajira ajira ajira vijana wengi waliojitkeza ni wasio na kazi tujirekebishe kama nchi kutenegeneza ajira nyingi sana kwa haraka na kama mkakati wa dharura kuliko vyote tena iwe dharura kweli kweli

Mwisho kweye baraz lako la mawaziri usiwaweke watu wenye tuhuma utarudisha chuki kwa wananchi mfano, Mwigulu, Nape, Ridhiwan Makonda , Mnyeti,

Narudi kesho na makala maalum kwa vyombo vya ulinzi eneo nililo n uzoefu nalo
Your reasoning is completely flawed. Unachosema hapa ni sawa na kusema hakuna haja ya kujaribu kusaidia kuwakomboa ndugu zako ambao wako kwenye captivity, kwasababu mtekaji anaweza kuwaua. Samia The Killer na majambazi wake wameteka na kuua Watanzania wangapi bila kuwepo maandamano yoyote?

Bila kuung’oa huu utawala wa hawa wahalifu, damu ya Watanzania wasio na hatia itaendelea kumwagika.

Inawezekana kwa sasa wewe ni mmoja wa wanufaika wa huu utawala dhalimu, lakini jua kwamba shetani hana rafiki. Utakapojikuta umegeuka kuwa mhanga wa ushetani wao utaelewa vizuri.
 
Mange Kimambi umeua watanzania wewe ukiwa unakula burger Las vegas shame on you. Na ulaaaniwe na kizazi chako

Maria Sarungi ulaaniwe na liberatus wako mmefanikiwa kupoteza damu ya watanzania na mlaaniwe na vizazi vyenu

Tmejifunza na tujipanga kama nchi , wenye mamlaka rekebisheni mapungufu yaliyopo ili yasitutokee kama yaliyotekea tena baadae chonde chonde yasitokee tena

Kuanzia sasa tuanze kulinda mipaka yetu ya kimtandao na TCRA kanunueni mtambo unaitwa TDRE U221 wRidhiwana russia unachuja maaudhui fungieni vitu vyote kutoka kwa hawa majirani zetu

Mwisho ajira ajira ajira ajira vijana wengi waliojitkeza ni wasio na kazi tujirekebishe kama nchi kutenegeneza ajira nyingi sana kwa haraka na kama mkakati wa dharura kuliko vyote tena iwe dharura kweli kweli

Mwisho kweye baraz lako la mawaziri usiwaweke watu wenye tuhuma utarudisha chuki kwa wananchi mfano, Mwigulu, Nape, Ridhiwan Makonda , Mnyeti,

Narudi kesho na makala maalum kwa vyombo vya ulinzi eneo nililo n uzoefu nalo
Wanaopaswa kupelekwa ICC siyo Maria Sarungi au Mange Kimambi, ni SAMIA SULUHU HASSAN, na wezi wenzake akiwamo Mwigulu Nchemba, Mchengerwa, Makonda, Camillus Wambura, Murilo, Mafwele, Chalamila, Rostam Aziz, mkuu wa mkoa Mbeya na wote wanaoua wananchi wasio na hatia.
 
Your reasoning is completely flawed. Unachosema hapa ni sawa na kusema hakuna haja ya kujaribu kusaidia kuwakomboa ndugu zako ambao wako kwenye captivity, kwasababu mtekaji anaweza kuwaua. Samia The Killer na majambazi wake wameteka na kuua Watanzania wangapi bila kuwepo maandamano yoyote?

Bila kuung’oa huu utawala wa hawa wahalifu, damu ya Watanzania wasio na hatia itaendelea kumwagika.

Inawezekana kwa sasa wewe ni mmoja wa wanufaika wa huu utawala dhalimu, lakini jua kwamba shetani hana rafiki. Utakapojikuta umegeuka kuwa mhanga wa ushetani wao utaelewa vizuri.
Ccm wamejaa vilaza wasio na akili kama huyu mpuuzi mleta mada.

Kwenye vyombo vya habari vyote duniani sasahivi tuhuma zote anazopaswa kushtakiwa mtu Mahakama ya ICC anatuhumiwa nazo samia alafu linajileta humu kudai eti Maria Sarungi na Mange ndo washtakiwe.

Wanadhani Dunia haijaona alichofanya Samia. Ngoja waoneshwe sasa
 
Mange Kimambi umeua watanzania wewe ukiwa unakula burger Las vegas shame on you. Na ulaaaniwe na kizazi chako

Maria Sarungi ulaaniwe na liberatus wako mmefanikiwa kupoteza damu ya watanzania na mlaaniwe na vizazi vyenu

Tmejifunza na tujipanga kama nchi , wenye mamlaka rekebisheni mapungufu yaliyopo ili yasitutokee kama yaliyotekea tena baadae chonde chonde yasitokee tena

Kuanzia sasa tuanze kulinda mipaka yetu ya kimtandao na TCRA kanunueni mtambo unaitwa TDRE U221 wRidhiwana russia unachuja maaudhui fungieni vitu vyote kutoka kwa hawa majirani zetu

Mwisho ajira ajira ajira ajira vijana wengi waliojitkeza ni wasio na kazi tujirekebishe kama nchi kutenegeneza ajira nyingi sana kwa haraka na kama mkakati wa dharura kuliko vyote tena iwe dharura kweli kweli

Mwisho kweye baraz lako la mawaziri usiwaweke watu wenye tuhuma utarudisha chuki kwa wananchi mfano, Mwigulu, Nape, Ridhiwan Makonda , Mnyeti,

Narudi kesho na makala maalum kwa vyombo vya ulinzi eneo nililo n uzoefu nalo

..Mama Samia angetekeleza 4R angeepusha vurugu na umwagaji damu.
 
Mtoto wa kiume unatakiwa kujifunza kuendesha maisha yako halali.

Kwenye siasa kuna deals, hilo linaeleweka duniani.

Kwa utaratibu wa external environment analysis (PEST) lazima ujipange na political changes. Uwe mfanya biashara au rijizi unaenufaika na mfumo uliopo.

Learn to adapt to changing political environment; maisha yako hayawezi tegemea mfumo wa siasa wenye raisi rijizi kama Samia na genge la wahuni kama waliopo leo.

Huyu mama anaweza kuwa na faida kwa wachache wenu (msio wabunifu) lakini hizo faida mnazopata ni kwa gharama ya mamillioni ya watanzania ili nyie mataahira mfaidike.

Ukiwa mmbunifu uwezi lia-lia na Samia.

Wewe huna maarifa ya kuishi nje ya serikali ndio maana unakuja kulia-lia ujinga humu kila siku.

Ukishaiba tafuta mbinu za kuzalisha uwezi kutegemea kuishi kwa kuwaibia watanzania kwa maisha yako yote.

Samia has to go
 
Hatuwezi kua mang'ombe , hata bila ya mange kimambi, mwisho wakuvumilia ujinga ungefika tu. watu wanaiba mali za umma , ulitaka wakaliwe kimya?watu wanateka na kuua na hakuna kitu wanafanywa bado ulitaka watu wakae kimya.?sidhani kama una akili sawasawa
Kuwapeleka ICC ni kupoteza muda. Dawa ni kuhakikisha wanalipia madhambi yao. Napendekeza jino kwa jino. Akina Kenyatta na Ruto walipelekwa hata akina Gbagbo. Sasa wako wapi. Hawa ni kuwafanyia kama walivyotufanyia. Finishi. Tunaweza kuanza na jamaa zao. hata kwa kwenda kwao kama vibarua na kuwalipizia kisasi na huu ndiiyo uislamu
 
Back
Top Bottom