Mange Kimambi kuja na maandamano nje ya World Bank HQ; huu mkakati umenishtua sana

Nakubaliana na wewe Mkuu,na mimi nimechangia katika hili janga la taifa linaloitwa CCM,lakini yaliyopita yamepita tutizame wapi tunaelekea kama taifa..
Tumsaidie Rais kuleta order, haiwezekani kuachia wahalifu waendelee kuifanya tz jalala..kila mahali uozo na hao wanaoguswa ndio vinara wa kulalamika this time watanyooka tu wawe ccm cuf act whatever..
 
Dude kuwa client haimanisha una 100% za kupata mkopo kuna factors nyingine wanaangalia, mfano kama hufati demokrasia, haki za binadamu usitegemee hao WB watakupa mkopo. Kaeni mtafakari vizuri hii battle siyo ya kitoto .
Mkubwa hatishiwi nyau wewe kaa utulie rais wetu mpendwa akutengenezee Maisha yako na kizazi chako
 
Tukio dogo sana hilo baada ya 26/4 huwezi kukuta media zinajadili jambo hilo...kilichotegemewa kutokea hakikutokea thats why nasema ni jambo dogo sana.
Wewe unaona kuwa ni tukio dogo,huo ni muono wako,lakini dunia inaliangalia hili tukio ni kbwa sana kwa nchi ya amani kama Tanzania,Mkuu umefatilia magazeti ya nchi jirani na nchi rafiki zetu kama Kenya na South Afrika tyameandika nini kuhusu siku ya 26/4..,

Mange kashinda,dada hana hata kilo 60 kaishinda serikali nzima ya Magufuli na vyombo vyake vya usalama,...Aibu kubwa
 
Tumsaidie Rais kuleta order, haiwezekani kuachia wahalifu waendelee kuifanya tz jalala..kila mahali uozo na hao wanaoguswa ndio vinara wa kulalamika this time watanyooka tu wawe ccm cuf act whatever..
Mhalifu na jambazi mkubwa kwa raia wa Tanzania kwa sasa ni raisi mwenyewe..,watu wanapotea,wanapigwa risasi,watanzania hatuko salama,huo ndio ujumbe Mange kadhamiria kutuma ili dunia ipate kufahamu nini kinaendelea Tanzania,..kafanikiwa kwahilo
 
Mkuu hivi vitu ni process na mkija kujaa kwenye 18 zao hamtakuwa na namna, kwa ushauri kaeni mtafakari upya namna ya kuaddress haya mambo.
Mmebaki na matumaini hewa ya ushindi wa miujiza. Eti mkijaa kwenye 18 kwa hiyo mnavizia vizia. Mtasubiri sana, kwa taarifa yetu interchange ya ubungo itajengwa, SGR itajengwa, stiglers gorge itajengwa achilia mbali miradi mingine kibao itajengwa na kumalizika kabla ya 2025 haijalishi kwa mkopo au cash! Kwa bahati nzuri watanzania wanajivunia kuwa na Rais asiyekatishwa tamaa na changamoto za kitoto kama mnazotaja. Rais wetu jembe kweli kweli hadi wazungu wenyewe wanaweweseka ovyo!
 
..sasa hivi serikali hii inahaha kupata pahala pa kukopa pesa za miradi mikubwa wanayofanya kisiasa.....sasa hawana sehemu nyingi za kukopa Na wamebaki kuzuga kuwa watatumia pesa za ndani..ambazo hazipo....
..hivyo kwa kuwashtaki kwa world bank kwa njia ya maandamano itakua pigo angamizi la kuwashika pabaya mno....mange amejipanga....
 
Ni uchaguzi upi hakuwahi kulalamika kuibiwa kura? Tumeshawazoea kazi kulia lia tu kama makinda ya ndege. Endelea kujipa matumaini ipo siku utashinda hata kama ni uzeeni
 
She is Pupp
She is a Puppet
 
Kashinda nn huyo mange, fafanua
 
vp kuhusu bunge live na mikutano ya siasa?
 
How....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…