Mbaka sasa,sijasikia chochote kutoka kwa msanii wa singeli man fongo najua alitoa nyimbo lakini nilitegeme atatoa nyimb nyingine yakuizidi haina ushemeji ila mpaka.sasa kimya na huu mziki nao pia upo kimya
Juma Nature aliposema singeli ni ishu ya kupita walimtukana sana badala ya kumuuliza mkongwe kwann kasema vile!,nlishangaa nlipoona yule bwana mdogo wa iliyokuwa East Coast team aitwaye King Crazy GK alipoudandia mziki wa kipuuz kama ule!
Mbaka sasa,sijasikia chochote kutoka kwa msanii wa singeli man fongo najua alitoa nyimbo lakini nilitegeme atatoa nyimb nyingine yakuizidi haina ushemeji ila mpaka.sasa kimya na huu mziki nao pia upo kimya