Maneno yanayokera wakati wa kutongoza

Maneno yanayokera wakati wa kutongoza

yani sio siri ndugu, ki ukweli nimesahau kutongoza, nakumbuka enzi zile unafukuzia yani mpaka kichwa kinauma, siku hizi ukipata no tu, na ukifanya ayo ya kumjali unakula mzgo tena anakupa wote. sasa nashangaa kuona bado kuna watu wanatongoza na kupewa hayo majibu.
Nadhan mtoa mada bado anatumia mbinu za zamani
 
Mimi nikikubaliwa mapema nakereka zaidi kwani napenda mtu wa kunizungusha ili nimuonyeshe mauwezo
 
huwa nachukia napoa ambiawa
-Nina mtu wangu,
-Ngoja nikajifikilie,
-unafanya kazi gani,
 
afadhali hayo,msichana anayejiheshimu huwa haropokewi hivyo,hata kumtongoza si njiani lazima mtu amwite lunch,au mda maalum ,ila kama hujiheshimu au umekaa kaa vibaya,yaani nakuambia ''we sister twende gheto nina hamu na wewe''
 
huwa nachukia napoa ambiawa
-Nina mtu wangu,
-Ngoja nikajifikilie,
-unafanya kazi gani,

wengine wanauliza kabisa,
- wewe kibamia au mandingo!??

wenzangu na mm apa lazima watende maovu ya kudanganya
 
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake
Salute kwakoo
 
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake

Hahahahahahhaha safi sanaaaaaaaaa
 
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake

Yani ukiangalia hii komenti yako na ID yako(texas tom)....inasadifu jina.
Ndo habari ya kuwasha sigara kwa bastora.
 
Kutongoza ni kama una bargain bei. Sio lazima mkafika mutual understanding.
 
kwa kweli nimesahau kutongoza hivi kupo kweli? maana siku hizi ni mwendo wa twende diner, baada ya hapo siku 2 umepiga mzigo. kwahiyo mimi hakuna neno linalonikera.

hakuna cha siku mbili mkuu, unaua soon after diner
 
Back
Top Bottom