Leo mtanzania analia lia na shida ya Umeme leo Mtanzania analialia na shida ya maji.
Tuna ukanda wa bahari kwa zaidi ya kilomita 700
Tuna maziwa Makuu ya Afrika na tuna mito inayotiririsha maji tokea iumbwe Dunia
Tuna gesi isiyomalizika Mtwara huko
Kuna nchi hazina mvua hazina mito hazijawahi kuzima Umeme tokea waanze kuujua - Wanatumia gesi Tanzania tunashindwa wapi
Kuna nchi hawajui maji kufungwa au kuwa hayatoki kwenye majumba yao tokea waungishe wanatumia maji ya bahari, mitambo midogo tu iliyofungwa kando kando ya bahari inanywesha nchi nzima.
Mnaenda kununua mindege kibao wakati umeme wa kuendeshea rada hamna ,si mnatafuta kuuwa watu
Maneno ya Mwalimu Nyerere Uchumi mmeukalia hayana kasoro ni kweli kabisa WaTz uchumi wameukalia
Umeme wa gesi ni wa uhakika kuliko wa Mvua
Maji ndio tuna maporomoko kila rangi kwenye zana hakuna wajenzi ndio tunaona wana- danganyana.
Tuna ukanda wa bahari kwa zaidi ya kilomita 700
Tuna maziwa Makuu ya Afrika na tuna mito inayotiririsha maji tokea iumbwe Dunia
Tuna gesi isiyomalizika Mtwara huko
Kuna nchi hazina mvua hazina mito hazijawahi kuzima Umeme tokea waanze kuujua - Wanatumia gesi Tanzania tunashindwa wapi
Kuna nchi hawajui maji kufungwa au kuwa hayatoki kwenye majumba yao tokea waungishe wanatumia maji ya bahari, mitambo midogo tu iliyofungwa kando kando ya bahari inanywesha nchi nzima.
Mnaenda kununua mindege kibao wakati umeme wa kuendeshea rada hamna ,si mnatafuta kuuwa watu
Maneno ya Mwalimu Nyerere Uchumi mmeukalia hayana kasoro ni kweli kabisa WaTz uchumi wameukalia
Umeme wa gesi ni wa uhakika kuliko wa Mvua
Maji ndio tuna maporomoko kila rangi kwenye zana hakuna wajenzi ndio tunaona wana- danganyana.