We ndo umeanza kukua au hukumbuki toka akiwepo walikuwa wanamkubali?Kwahiyo samuel sitta ndo mmemkubali now
We ndo umeanza kukua au hukumbuki toka akiwepo walikuwa wanamkubali?Kwahiyo samuel sitta ndo mmemkubali now
Hebu fafanua pia kwa upande wa kura. Labda utaeleweka zaidiChadema from 1995-2015=fikra za mabadiliko
Chadema from 2015=comedy Hadi aibu maskini chadema mliuza chama.bavicha mnatumiwa ovyo
Lakini ukweli uko wazi chadema viongozi wake ndo mafisadi wenyewe wazee wastaafu.wengine ma dj wameuzia vijana madawa ya kulevya kwenye club zao.
Wametumia ujanja wa sheria kutetea waizi wa rasilimali..kwa magufuli mtakoma.na bado wale mlioficha hela nje mjiandae.fanyeni maigizo yote lakini keki ya taifa sasa inagawanywa.ile mitandao ya ufisadi chini ya mstaafu ilioutaka urais .imefeli.magabacholi mmefeli.wafanyabiashara magendo mmefeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna clip ya TL aliwahi kusema wale wenyeviti wa kamati za bunge ziliteuliwa na mtu tofauti na aliyedhaniwa ni mteuaji. Inaweza kuwa kweli kwa kauli hiziKuna watu ukipanga nao kitu cha siri lazima tu atakuja kukuumbua mbele za watu.
Hakuna kitu kizuri kama kuongea kwa mipaka,ona sasa katoboa siri ile siku!
Wee nae hata aibu huna nawaskitikia sana watakaochukua genes zako.Chadema from 1995-2015=fikra za mabadiliko
Chadema from 2015=comedy Hadi aibu maskini chadema mliuza chama.bavicha mnatumiwa ovyo
Lakini ukweli uko wazi chadema viongozi wake ndo mafisadi wenyewe wazee wastaafu.wengine ma dj wameuzia vijana madawa ya kulevya kwenye club zao.
Wametumia ujanja wa sheria kutetea waizi wa rasilimali..kwa magufuli mtakoma.na bado wale mlioficha hela nje mjiandae.fanyeni maigizo yote lakini keki ya taifa sasa inagawanywa.ile mitandao ya ufisadi chini ya mstaafu ilioutaka urais .imefeli.magabacholi mmefeli.wafanyabiashara magendo mmefeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama anawajua hao watu wenyeji wa jiji kipindi hichoUnadhan wakina syske wangekuwa waoga uhuru wa bendera tungeupata?
Sent using Jamii Forums mobile app
....Chigomaaa eeeeh Chigoma weeeee.....Unafikiri maji ya ziwa Tanganyika mchezo, ameaga huyoo.Zitto kuwa kimya
Mwenzio lissu nimesikia mashinji anasema hujafa hujaumbika
Sitta kwenye bunge alikuwa mzuri sana sema alikuja kuharibu kwenye bunge la katiba, kama kawaida maccm yakimdanganya yatampitisha kwenye uteuzi wa kugombea uraisi,Kwahiyo samuel sitta ndo mmemkubali now