Upinzani wa Tanzania hauna mkakati wowote ndio maana wanabakia kudakia na kuhoji vitu ambavyo vinajulikana dhahiri. Hivi ni kweli walikuwa hawajui kuwa spika wa Bunge letu anafanya kazi chini ya directives za CCM? (soma rais). Mbona hata wakati wa Kikwete haya mambo yalikuwa yanafanyika sana! Huyo Zitto mwenyewe kuna wakati Kikwete alimpigia spika akamwambia amweke kwenye kamati ya bunge!Spika ni mwana sisiem. Usisiem ndo unamfanya awe spika na umeshikiliwa na mwenyekiti wa sisiem then what do you expect?
Kwetu kama ni Mwanaume alafu unaongoza kwa uoga,utapigwa hata mbele ya familia yako,hiyo yote ni kuoneshwa unavyodharaulika kwenye jamii,Mwanaume wa ukwel huwa jasiriZitto kuwa kimya
Mwenzio lissu nimesikia mashinji anasema hujafa hujaumbika
hahaaaaNdugai bado ule ugonjwa uliosababisha amtwange rungu mpinzani wake haujamtoka,hawezi kufananishwa hata kwa 1% na Zungu seuze Sitta
Nafikiri kuna watu walikuwa wanalindwa. Wale ambao kwa kwa makusudi kabisa report iliamua kutowataja, yawezekana kwa naelekezo toka juu. Wale ambao hawakutajwa lakini kama report hizi zingejadiliwa bungeni wangetajwa na labda kujadiliwa. Wale ambao mamlaka ya mhimili wa serikali, hata kwa sababu binafsi, wameamua kuwa walindwe hata kwa gharama ya kuvunja kanuni.Report ya kamati ya bunge madini na almasi,kwanini report hii haikijadiliwa na bunge itoe ili itoe mapendekezo Kwa serikali hatua za kuchukua.kabla ya kuipa serikali sijui sheria inasemaje hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mazishi ya Spika wa Watu Mzee Sitta, Ndugai aliomba afike japo robo ya Sitta. Hajafika hata 10% ya Anna Makinda miaka 2 Sasa
Wakuuu naona koki ya freedom of speech kama imeharibika Hivi!
CHADEMA watatamtetea Zitto let wait and see bellow......
Anaetoa hela ni mwananchi! Hivyo ni heri angeuliza wawakilishi wa wananchi!Lazima uulize kwa anaekupa hela kwani yeye ndio bosi
Wewe ndie unajua anaetoa hela ni mwananchi ila Sie tunajua anaetoa hela ni yeyeAnaetoa hela ni mwananchi! Hivyo ni heri angeuliza wawakilishi wa wananchi!
Nyie ni wapumbavu ndugai Ana nguvu gani ya kushusha hadhi ya muhimili? Ambao ni taasisi?Sikuwahi kufikiria kama NDUGAI Atakuja shusha Hadhi ya Mhimili huu kwa kasi namna hii. Yaani Tukiacha Ushabiki tu Ndugai hata viatu vya Mama Makinda tu Hajavivaa
Sent using Jamii Forums mobile app