Invest akili yako kwenye masomo na punguza muda wa kuingia jukwaa hili, jukwaa linalokufaa ni la Iintelligence, jukwaa la elimu na jukwaa la teknolojia.
Utakuja kuyakumbuka haya maandishi yangu wakati umeshaharibikiwa na maisha yanakuchapa.
Sikuelewi umeandika nini.
masomo gani?
nitakumbuka maandishi gani?
maisha yanichape kwa sababu gani?
kwanini hayo majukwaa mengine na sio hili jukwaa?