Maneno ya kumpa mpenzi hisia kali za mapenzi

Maneno ya kumpa mpenzi hisia kali za mapenzi

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
557
Reaction score
1,039
Mapenzi ni matamu sana ukipata anayekupenda na kujali hisia zako.

Embu tupunguze kidogo haya mawazo ya nchi yetu maana yamekuwa mengi tulifreshi akili kwa mambo matamu na mazuri ya kimahaba.

  1. Nakupenda zaidi ya unavyoweza kufikiria.
  2. Wewe ni furaha yangu ya kila siku.
  3. Ukiwa mbali nahisi upweke mkubwa.
  4. Unanifanya kuwa mtu bora zaidi.
  5. Macho yako ni nyota zinazoniongoza gizani.
  6. Kila unaponiangalia, moyo wangu hupiga kwa kasi.
  7. Upendo wako ni zawadi kubwa maishani mwangu.
  8. Sitamani chochote zaidi ya kuwa na wewe milele.
  9. Wewe ni sehemu ya moyo wangu isiyoweza kubadilishwa.
  10. Uko moyoni mwangu, mahali ambapo hakuna anayeweza kufika.
 
Hiyo namba 6 ni uwongo bwana
Uwongoooo😂
 
Mapenzi ni matamu sana ukipata anayekupenda na kujali hisia zako.

Embu tupunguze kidogo haya mawazo ya nchi yetu maana yamekuwa mengi tulifreshi akili kwa mambo matamu na mazuri ya kimahaba.

  1. Nakupenda zaidi ya unavyoweza kufikiria.
  2. Wewe ni furaha yangu ya kila siku.
  3. Ukiwa mbali nahisi upweke mkubwa.
  4. Unanifanya kuwa mtu bora zaidi.
  5. Macho yako ni nyota zinazoniongoza gizani.
  6. Kila unaponiangalia, moyo wangu hupiga kwa kasi.
  7. Upendo wako ni zawadi kubwa maishani mwangu.
  8. Sitamani chochote zaidi ya kuwa na wewe milele.
  9. Wewe ni sehemu ya moyo wangu isiyoweza kubadilishwa.
  10. Uko moyoni mwangu, mahali ambapo hakuna anayeweza kufika.
🐤🐤🐤🐤🐤
 
Mapenzi ni matamu sana ukipata anayekupenda na kujali hisia zako.

Embu tupunguze kidogo haya mawazo ya nchi yetu maana yamekuwa mengi tulifreshi akili kwa mambo matamu na mazuri ya kimahaba.

  1. Nakupenda zaidi ya unavyoweza kufikiria.
  2. Wewe ni furaha yangu ya kila siku.
  3. Ukiwa mbali nahisi upweke mkubwa.
  4. Unanifanya kuwa mtu bora zaidi.
  5. Macho yako ni nyota zinazoniongoza gizani.
  6. Kila unaponiangalia, moyo wangu hupiga kwa kasi.
  7. Upendo wako ni zawadi kubwa maishani mwangu.
  8. Sitamani chochote zaidi ya kuwa na wewe milele.
  9. Wewe ni sehemu ya moyo wangu isiyoweza kubadilishwa.
  10. Uko moyoni mwangu, mahali ambapo hakuna anayeweza kufika.
Acha ujinga, tuko kwenye msiba wewe unawaza chini tu
 
Nisaidieni kunitajia vpn inayofungua X twitter kwa watumiaji wa iphone Nina Turbo na Prox sifanikiwi kuingia huko x
 
Namba ipi inapokea hii laki 3 mpenzi hapa lazima akojoe kama ni Muhaya basii amekwishaaa
 
mwambie D9 naenda kupambana na serikali dhalimu kwa ajili yako ili tuishi vzur sisi na vzazi vyetu vya baadae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom