swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
Ndugu wanajamvi napenda tutoe maoni juu ya maneno haya yaliyosemwa na karume akiwafariji wazanzibari walioonekana kupoteza imani juu ya muungano,tafakari maneno yake haya:
"...Ndugu wazanzibari wenzangu msisononeke wala kufadhaishwa na muungano huu kwa sababu Muungano ni kama koti unalivaa likikubana Unalivua..."
je karume alikuwa na dalili za kukata tamaa na muungano?
"...Ndugu wazanzibari wenzangu msisononeke wala kufadhaishwa na muungano huu kwa sababu Muungano ni kama koti unalivaa likikubana Unalivua..."
je karume alikuwa na dalili za kukata tamaa na muungano?