Rubbish....Huu ndio ukweli wa watanzania kama wawakilishi walivyowakilisha
View attachment 1573588
Kweli maisha yanaenda kasi sana Sikuhizi kuweka taa za barabarani nayo ni sera ambayo chama fulani kinajivunia na kutembea kifua mbele Watu hawana AJIRA, mzunguko wa pesa umekua mgumu, Pembejeo na Masoko kwenye kilimo ndio balaa. Alafu mtu na phd yake anahubiri taa za barabarani bila aibu.Watu wa Kigoma wanataka maendeleo, na rais John Pombe Magufuli amewaletea maendeleo ndio maana wanakupenda - Zitto Kabwe
Kweli maisha yanaenda kasi sana Sikuhizi kuweka taa za barabarani nayo ni sera ambayo chama fulani kinajivunia na kutembea kifua mbele Watu hawana AJIRA, mzunguko wa pesa umekua mgumu, Pembejeo na Masoko kwenye kilimo ndio balaa. Alafu mtu na phd yake anahubiri taa za barabarani bila aibu.
Huu ndio ukweli wa watanzania kama wawakilishi walivyowakilisha
View attachment 1573588