Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,664
Le prof.... Lazima kuna mchezo wa meupanga nyuma ya pazia
CUF should watch out of this man
CUF should watch out of this man
Ila LIPUMBA kanifurahisha sana jana
Kwani tangu Le professor alipong'atuka mwaka Jana chama cha CUF kiliyumba??Hakuna kipindi CUF imekuwa kama kipindi cha baada ya le professor kung'atuka.Na hao ndio wenye bendi wengine wooote wacheza shoo, wakiamua sasa wanapiga sebene Mtatiro and etal ni kunengua tu. Hiko chama bila Seif na Lipumba lazima kiyumbe.
Prof Lipumba katumwa, katumwa tena.Wasiingilie Tu Ukawa Maana Ukawa Ni Homa Ya Ccm
PROFESA KAKAA SANA MTAANI BILA AJIRA
Kwani tangu Le professor alipong'atuka mwaka Jana chama cha cuf kiliyumba??Hakuna kipindi cuf imekuwa kama kipindi cha baada ya le professor kung'atuka.
Ajabu ni kuwa mpanga bei Sukari hana !!Wasomi wa bei elekezi.
Sasa hapa unatambua nani ni ki.laza kati ya muuza sukari na mpanga bei.
Kama una mil7 andika tu.Kweli wasomi wa TZ njaa ya tumbo inawaaibisha sana, sijui kwa nini! Yeye kasema ametengua barua yake ya kujiuzulu uenyekiti, Mimi napendekeza kuwa chama Kisitengue hili ombi lake la kujiuzulu alilolitoa mwaka jana hadi aeleze watu kinagaubaga wakati anatoa ombi lake la kujiuzulu kulikuwa na kitu gani kikubwa kilichomsibu? Yani ni na hasira hapa basi tu naogopa sheria ya makosa ya mtandaoni lakini ningeandika mambo makubwa makubwa humu.
Hao hawana tofauti na akina Kagame, Museven na Nkuruzinza.Wewe ulienda ukaliona hilo kundi? Acha utabiri Wa sheikh yahaya wewe.
Huo ndio ukweli mtupu. Hali halisi ipo kwamba CUF wakati wa Lipumba ilikuwa na wabunge wangapi? Sasa ina wabunge na madiwani wangapi? Mfano ni Tanga.Prof Lipumba amekosa msimamo,sitaki,nataka!kama mtoto vile.Namuona kama mtu aliyejiteua kuleta mgogoro ndani ya CUF
Kundi la wanunuliwa?mtatiro ndo nani kwenye cuf , hadi pro kuamua kurudi kuna kundi kubwa sana lililoenda kumuomba arudi kundi na hao ndo wenyewe chama