Maneno mazito ya Lowasa!

Maneno mazito ya Lowasa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Namnukuu!


,,Nimeanza kazi ccm 1977 nina uzoefu kuliko mgombea yeyote anaetaka kuteuliwa na ccm,hakuna anaeweza kukata jina langu msihofu na anaetaka akate langu aanze kukata lake" Edward Lowasa.
 
Namnukuu!


,,Nimeanza kazi ccm 1977 nina uzoefu kuliko mgombea yeyote anaetaka kuteuliwa na ccm,hakuna anaeweza kukata jina langu msihofu na anaetaka akate langu aanze kukata lake"Edward Lowassa.

Sa mbona alikatwa?ni vzr kujiamini lakini kujiamini kupita kiasi ni mbaya pia
 
Yap na ndio maana unamuona majukwaani wakati membe kakaa kwenye sofa. Lowassa ni bingwa usisogeze pua
 
Lowasa ndiye Rais wa awamu ya 5 hilo halina ubishi angalia nguvu nyingi inayotumiwa na CCM lakini bado Lowasa anakibalika sana hilo halina ubishi pia anajiamini sana
 
Na akakatwa na hatuna cha kumsaidia muache apambane atuonyeshe kweli ana uzoefu!
 
Back
Top Bottom