God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,029
....
sasa ushaonyesha udhaifu wako, mimi ntakulinda na kukutunza mpenzi wangu, hakuna kama wewe dunia hii nimeona wengi sana ila wewe ndie roho yanguhakuna mwanaume aliefaulu kwangu wote wamekuja na saund ya NDOA bila matunzo ambapo nshawazoea nakuiona hyo hali Kwao ni kama wimbo wa Taifa bila VIDEO!!!!!!!!!!.........
hahah hata useme ukinywa maji unaniona kwa glass,,,, nyie n hit-run.sasa ushaonyesha udhaifu wako, mimi ntakulinda na kukutunza mpenzi wangu, hakuna kama wewe dunia hii nimeona wengi sana ila wewe ndie roho yangu
hahahahahahahahaah jf bhana acha kabisasijapata kuona mwanamke mzuri kama wewe.. Uzuri wako ni zaidi ya malaika, ukitembea ni kama unapaa... tabasamu lako linanihamisha duniani..
umbo lako mithili ya nyigu aliyebeba mzigo nyuma..
mrembo wangu maashaalah..
nikubalie nikuoneshe mema ya dunia...
teh teh.... nikalainika nikaingia mzima mzima
Wanawake wa siku hizi ovyo kweli, unataka utunzwe wewe ni mtoto??hakuna mwanaume aliefaulu kwangu wote wamekuja na saund ya NDOA bila matunzo ambapo nshawazoea nakuiona hyo hali Kwao ni kama wimbo wa Taifa bila VIDEO!!!!!!!!!!.........
Aliemwaga hizo free style ni yule wa JF??sijapata kuona mwanamke mzuri kama wewe.. Uzuri wako ni zaidi ya malaika, ukitembea ni kama unapaa... tabasamu lako linanihamisha duniani..
umbo lako mithili ya nyigu aliyebeba mzigo nyuma..
mrembo wangu maashaalah..
nikubalie nikuoneshe mema ya dunia...
teh teh.... nikalainika nikaingia mzima mzima
aka hit kisha aka runsijapata kuona mwanamke mzuri kama wewe.. Uzuri wako ni zaidi ya malaika, ukitembea ni kama unapaa... tabasamu lako linanihamisha duniani..
umbo lako mithili ya nyigu aliyebeba mzigo nyuma..
mrembo wangu maashaalah..
nikubalie nikuoneshe mema ya dunia...
teh teh.... nikalainika nikaingia mzima mzima
Huyu binti ameongea ukwelihakuna maneno
ni genye zangu tu na mimi na yeye tukakutana wote...
basi tukaanza kulijenga Taifa
hadi sasa tunapaka bati rangi