Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,916
- 54,987
Aisee huyo atakuwa dictator.
Aisee huyo atakuwa dictator.
Umefka wp.....Mmmhhh napita tu
hakuna mwanaume aliefaulu kwangu wote wamekuja na saund ya NDOA bila matunzo ambapo nshawazoea nakuiona hyo hali Kwao ni kama wimbo wa Taifa bila VIDEO!!!!!!!!!!.........
dah! hongera bwana kwa maana kuwa mama katika hii dunia ni thawabu....yupo mpaka leo baba wa watoto wanne, Alhamdulilah.
nakupenda sana we mdada,uko straight sanahakuna maneno
ni genye zangu tu na mimi na yeye tukakutana wote...
basi tukaanza kulijenga Taifa
hadi sasa tunapaka bati rangi
Za leo wana MMU.
Natumaini muwazima kabisa hapa na munaendelea na shughuli za kila siku za maisha yetu hapa duniani.
Leo nimeona nilete hii mada tujuwe maneno mazuri ya kuwaambia wapenzi wetu tuwapo faragha tuzidishe upendo na penzi lidumu daima.
Kama mwanaume embu tuambie sound uliyotoa hadi bibie akakubali kukuachia naniluu yake umfaidi. Ewe mwanamke tuambie maneno uliyoambiwa na sweetheart wako ukakosa la kufanya, ukalowa mtoto ukamua kumpa haki yake love wako.
Na hiyo avatar yako aliangalia macho yako ya koboko anakupa hayo maneno hahahahahaaaEvery time I look into your eyes, I wonder what made them so beautiful! Each time I see your gaze, I feel like crying because I feel those beautiful eyes piercing through me and seeing all the bad stuff I have done with all the bad girls I met before you,kinda makes me regret why I didn't wait. I am so happy to have finally met you but worried if a guy like me deserves a princess like you!
Njoo tuchukue video mama. Hahahahaahakuna mwanaume aliefaulu kwangu wote wamekuja na saund ya NDOA bila matunzo ambapo nshawazoea nakuiona hyo hali Kwao ni kama wimbo wa Taifa bila VIDEO!!!!!!!!!!.........
Fikiria namna ya kubadili bila kupoteza maana halisi.
Yaani nilitaka kujaribu kidogo ila nikaona itapoteza utamu uliomo, so nimeshindwa
Leo ni nusu fainali mkuu..Ureno vs Wales au mechi ipi hiyo ya ufunguzi??Nakariri kabisa yatanipa point kwenye mechi ya leo ukizingatia ni mechi ya ufunguzi
Wataka kutuambia we ni bikrahakuna mwanaume aliefaulu kwangu wote wamekuja na saund ya NDOA bila matunzo ambapo nshawazoea nakuiona hyo hali Kwao ni kama wimbo wa Taifa bila VIDEO!!!!!!!!!!.........